Carlos The JackalHabari
Naomba kufahamu hili ni tatizo gani? limesababishwa na nini? na kuhusu tiba yake pia tafadhali. View attachment 2730261
Nikweli kabisa, Ahsante sana kwa mawazo positive. UbarikiweUkihitaji msaada na umeweka picha kama hivi madaktari walio JF ni rahisi kujua hata wakakupa ABC kuliko ungeandika kwa maneno tuu, sijaona kama umekosea as long as umeweka kwenye jukwaa sahihi la afya. Ushauri wangu nenda hospitali ukachunguzwe na mtaalamu humu wapo madokta ila utakutana na wasio madokta wenye stress kwanza wakutukane wewe.
Nyie mnajidau kula mbususu? Sawa kapime na umeme pia😆😆Habari
Naomba kufahamu hili ni tatizo gani? limesababishwa na nini? na kuhusu tiba yake pia tafadhali. View attachment 2730261
Nyie mnajidau kula mbususu? Sawa kapime na umeme pia😆😆
hehee jamaa umewaka hasiraMademu zenu wa kuvuta mikono hao ndo malipo yake..
Ngono mmefanya machakani huko uje uombe msaada huku na govi lako Hilo...
Moderator ondoeni hii namna gani hapa ni useless
Aendelee kula tu anachokitafuta atakipata USAID watasitisha dawa hivi karibuni.unataka alee nini mkuu?
Hakuna,, uzembe kama huu sio wa kuufumbia macho aiseehehee jamaa umewaka hasira
Nimekuelewa, ntaufanyia kazi ushauri wako. Sometimes, we learn the hard way!Umeukwaa hiyo ni kaswende ila itapona kwa antibiotics ningekutajia ila nenda hospitali ukaaibike kwanza alafu kesho utajua umuhimu wa condoms. Na usije ukajidanganya kuingia google ukachukua dawa ukameza kaswende ina stages hiyo ni stage one ukibugi ikakauka inaenda stage 2 ambapo unatokewa na vipele mwili mzima na stage ya tatu inaathiri figo mpka ubongo. Fanya hima nenda hospitali na ujiandae kubaki na kovu kwa muda wa zaidi ya wiki mbili. Condom zipo mpka kwenye vijiwe vya boda ww kimekushinda nn kutumia kinga hata kama zile za serikali(zana) zinasumbua kuna wengine zinawapa aleji ila kitu cha kukulinda unashindwaje kutumia.
Jiulize kama kaswende umepata je ukimwi ungekukosa ww.
[emoji41][emoji41][emoji41]USIONE SOO SEMA NAYE KUHUSU KUSUBIRI KUWA MWAMINIFU AU KUTUMIA CONDOM.[emoji41][emoji41][emoji41]
Simu yako si ina Camera mkuu! Jitwange photo fasta mkuu achana na picha za watuMsaada Picha haitaki kufunguka
mimi pia napata hiyo shidaNisaidieni picha kufunguka! Au ni simu yangu? Picha ni kitu muhimu katika ufundishaji.
Nimekuelewa, ntaufanyia kazi ushauri wako. Sometimes, we learn the hard way!
Ahsante, brother
aa victoriaaa✋😋Wahi hospital katibiwe.Maana magonjwa ya ngono mengi dalili hufanana. Nashindwa kusema kama ni genital Herpes ama la.
mimi pia napata hiyo shida
Allah akufanyie wepesi kisije kuwa kinakuwa hicho kipele maana itakuwa kama wale jamaa wenye matez ya skioni kutamaki unakuwa na mboo mbili moja kubwa kama kichwaHabari
Naomba kufahamu hili ni tatizo gani? limesababishwa na nini? na kuhusu tiba yake pia tafadhali. View attachment 2730261