Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo Genital herps...!Habari
Naomba kufahamu hili ni tatizo gani? limesababishwa na nini? na kuhusu tiba yake pia tafadhali.
View attachment 2730416
Kasagane na bimkubwa wako....Njoo tusagane
Nahisi ni dalili kwakua kawaida stages zina dalili tofauti, ukipima mkojo sijajua kama vipimo vitakua tofauti baina ya stage moja na nyingine. Ila ni kuwa makini maana inaweza kukupata na usijue kuna watu ikiwatokea vile vipele au lenge lenge haliumi kabisa mpka linakauka kwahyo utakuja kustuka ukitokewa na stage 2.Mkuu, kwani hizo stage zote za Kaswende ukipima kwa vipimo zinaonekana? Au wanapima kwa dalili tu!?.
Kaswende ukipima VDRL after 1 or 2weeks INAONYESHA VIZURI SANA,hawapimi mkojo wanapima DamuNahisi ni dalili kwakua kawaida stages zina dalili tofauti, ukipima mkojo sijajua kama vipimo vitakua tofauti baina ya stage moja na nyingine. Ila ni kuwa makini maana inaweza kukupata na usijue kuna watu ikiwatokea vile vipele au lenge lenge haliumi kabisa mpka linakauka kwahyo utakuja kustuka ukitokewa na stage 2.
Maisha yalitakiwa yawe marefu sana ili kinachohubiriwa na wataalam wa afya kiwe na mantiki sahihi.Umeukwaa hiyo ni kaswende ila itapona kwa antibiotics ningekutajia ila nenda hospitali ukaaibike kwanza alafu kesho utajua umuhimu wa condoms. Na usije ukajidanganya kuingia google ukachukua dawa ukameza kaswende ina stages hiyo ni stage one ukibugi ikakauka inaenda stage 2 ambapo unatokewa na vipele mwili mzima na stage ya tatu inaathiri figo mpka ubongo. Fanya hima nenda hospitali na ujiandae kubaki na kovu kwa muda wa zaidi ya wiki mbili. Condom zipo mpka kwenye vijiwe vya boda ww kimekushinda nn kutumia kinga hata kama zile za serikali(zana) zinasumbua kuna wengine zinawapa aleji ila kitu cha kukulinda unashindwaje kutumia.
Jiulize kama kaswende umepata je ukimwi ungekukosa ww.
😎😎😎USIONE SOO SEMA NAYE KUHUSU KUSUBIRI KUWA MWAMINIFU AU KUTUMIA CONDOM.😎😎😎
Mkuu unamaanisha au unatania?Allah akufanyie wepesi kisije kuwa kinakuwa hicho kipele maana itakuwa kama wale jamaa wenye matez ya skioni kutamaki unakuwa na mboo mbili moja kubwa kama kichwa
Sijacheka lakini 😄kama umezini nenda hospitali .....au hiyo ni jnja yako kuweka picha ya umbile kubwa 😳 😳 😳 😳
Intelligent businessman nasemwa ukuWatu wa JF, ni wa ajabu sana. Wanatagiana kuja kuona maumbile ya mgonjwa. Si kwa lengo la kujifunza, bali kukejeli.
Anyway, turudi kwenye uzi.
Kwanza, pole sana Mkuu. Ni tatizo la kawaida, hivyo comments za wanaJamii zisikutishe sana.
Pili, ni ngumu kidogo kutabiri ni ugonjwa gani. Kwa sababu magonjwa ya zinaa yana dalili kadhaa zinashoshabihiana. Lakini pia, sijapata maelezo yako. Je, tatizo lilianza lini? Je, kwenye muoto huo kunauma? Dalili zinazoambatana na hali hiyo ni zipi? Ukikojoa unaumia?
Tatu, kwa makisio ya kawaida kwa kutumia macho, inaonyesha ni genital warts. Siyo herpes. Kwa asiyefahamu, anaweza dhani ni moja. Ila herpes zinakuwa vijipele wakati warts inaoteana kama kinyama. Ni ugonjwa unaoambukizwa kwa kushiriki ngono isiyo salama.
Hakuna dawa ya kutibu magonjwa tajwa, kinga yako ya mwili inaweza kusambaratisha na kupotea baada ya muda.
Hata hivyo, kuna dawa zinazoweza kupunguza maumivu (endapo yapo). Si busara kuzitaja bila ya kuthibitisha ugonjwa husika.
Nne, yakupasa ufike katika kituo cha afya karibu yako kwa ajili ya uchunguzi zaidi. Mtaalamu wa afya atakupa dawa kulingana na matokeo ya vipimo.
Tano, nakutakia uponyaji mwema. Zingatia ngono salama na matumizi ya dawa na ushauri wa daktari.
Kwanza niseme kwa masikito makubwa kwamba jf imekua ya hovyo sana,katika post 106 ni post 3 tu kwenye huu uzi ndio zimekuwa na maana, wengine wote wameleta utani na kejeli.
Hizo ni genital warts.
Huwa hakuna dawa ya kumeza isipokuwa nyia kuu mbili.
1.Cryotherapy,I mean kuzipiga na NO² ambayo ina baridi kali mpka zigandw then zinaharibika na kuacha kidonda ambacho kitapona baada ya siku kadhaa,hii najua pale KCMC school of dermatology wanafany sijui sehemu nyingine
2.Njia ya pili ni kutumia dawa inaitwa podophyllum toxin hii ni dawa unaweka directly kwenye hivyo vi warts baada ya siku mbili au tatu vinaanza kupukutika na kuacha kidonda ambacho kitapona baada ya siku kadhaa.
Hii dawa inauzwa kwenye maduka ya dawa makubwa
3.Njia ya asili,kuna jamaa amewahi kuelezea humu ndani,chukua papai bichi kabisa,tafuta pini au shindano,toboa papai kwa kutumia hiyo pin au sindano then utatoka ule utomvu mweupe,tumia pin au sindani kutoboa toboa hivyo vi warts then paka ule utomvu mara mbili kwa siku,warts zitaisha ndani ya siku mbil,ila shoda ya hii njia ni moja tu, utomvu wa papai ni mkali sana utakuachia vidonda kama ukigusa sehemu isiyohusika mfano ke.nde.
Angalizo.paka mafuta ya Vaseline sehemu zisizo husika kabla ya kupaka podophyllum toxin or utomvu wa papai.
...Hata Mimi ! Picha haifungiki....Nisaidieni picha kufunguka! Au ni simu yangu? Picha ni kitu muhimu katika ufundishaji.