Picha: Msemaji wa White House na mwenza wake

Acha hizo,huyo ni msemaji aliyemtangulia, amekabidhi Ofisi kwa huyo mweusi, yaani tangu Lissu aseme anaunga mkono mambo hayo, Chadema mnajilipua tu
Yani mkuu unataka kubisha hichi kitu wakati ni cha ukweli! Nenda google upate ukweli
 
Beberu hana mda na mambo ya mtu binafsi
Ni yeye na maendeleo kwa ujumla baaaaas πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…