raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Mtu akishakuwa na afya ya akili na mwili bas hayo mengine ni ya kwakeMaendeleo nayo yanaanzia kwa mtu binafsi
Huduma bora za kijamii ndio suala la msingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu akishakuwa na afya ya akili na mwili bas hayo mengine ni ya kwakeMaendeleo nayo yanaanzia kwa mtu binafsi
Nzuri,umepotea dada mkubwaHabari ya muda mugah di matheo 🏃♀️🏃♂️
Nzuri,umepotea dada mkubwa
Acha hizo,huyo ni msemaji aliyemtangulia, amekabidhi Ofisi kwa huyo mweusi, yaani tangu Lissu aseme anaunga mkono mambo hayo, Chadema mnajilipua tu
...Msaada kwenye Tuta! Naomba kushuka....!Msemaji wa ikulu ya marekan mwanamam Marie akiwa na mumewe suzani dunie inakwenda Kasi sana
USSR View attachment 2228103
Vipi na kwa vidume(mapunga) utawafanyia hivyo ili waache ushetani wao?Hao unawavizia wote kisirisiri halafu mnapiga threesome amazing unawapelekea moto kweli kweli kesho lazima waaache huo ushetani wao
Sijui unatumia kiungo gani kufiria maana wanaoongelewa wanawake wewe unaleta Habari za mapungaVipi na kwa vidume(mapunga) utawafanyia hivyo ili waache ushetani wao?
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa punga hiloSijui unatumia kiungo gani kufiria maana wanaoongelewa wanawake wewe unaleta Habari za mapunga
Nilikutana na Suzanne pamoja na dada yake Suzette mwaka 2002 kwenye hafla fulani ya Pentagon iliyokuwa imaendaliwa Hyatt Regency Crystal City; wao walikuwa pamoja na waandishi wa CNN na NBC ila kwenye meza yetu tukakaa mimi na wao tu. Wote wawili walikuwa wanafananana sana na walikuwa warembo sana. Ila Suzette alikuwa inward sana asiyetaka kuongea wala kunywa kinywaji wakati Suzanne alikuwa ni outgoing sana aliyekuwa anachapa kinywaji na alikuwa anauliza uliza sana; in fact alinilipia bili yangu ya kinywaji. Suzana aliniuliza mambo mengi kuhusu background yangu na kwa nini nilikuwa mmoja wa walioalikwa pale. Sasa kwa vile historia yangu ni ndefu na adventurous sana tuliongea sana; baada ya hafla hiyo alinipa contact information zake na kunishauri kuwa siku nyingine nikiwa Washington DC kwenye shughuli za Pentagon niwasiliane naye. Wakati huo nilikuwa nimeshaoa siku nyingin na nina watoto wawili ingawa nilikuwa bado na sura ya ujana; sikuwahi kuwasiliana naye.Msemaji wa ikulu ya marekan mwanamam Marie akiwa na mumewe suzani dunie inakwenda Kasi sana
USSR View attachment 2228103
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]Mama anafungua nchi soon zuhura nae atampost wake
Kabisaaaaaaaaah.Beberu hana mda na mambo ya mtu binafsi
Ni yeye na maendeleo kwa ujumla baaaaas [emoji3][emoji3][emoji3]
Trump harud tena white house. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wajiandae kufagiliwa 2024 kama trump akipita katika uchaguzi maana alishasema ni lazima aludi White House na alivokuwa hafagiliii hayo mambo.
Kuwa atarudi biden huyu ambaye anakosea njia ya kuingilia white house [emoji1787][emoji1787] eti the Eagle has landed and lost the directionTrump harud tena white house. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo umejitungia tu halafu ukajimwambafy.Mwenza[emoji777]
Mwenzi [emoji3581]
Mwenza hutumika kama msaidizi wa mgembea hasa kwa ngazi ya urais
Mwenzi ni mpenzi/mchumba/mume