Picha: Mtangazaji mpya wa ala za roho, baada ya diva kupigwa chini

Guys diva is irrepressible nampenda sana yule dada. Na sauti yake ile mwenzenu huwa nakufa kwa ajili yake. Redio zingine zimchukue na waanzishe kipindi kama kile. Mbona mwenzake hajafukuzwa aka gigy
 
Yani Mamy Baby ni kisu kwa huyo Mina? [emoji15]
OMG! Mamy baby yule mbovu kama kitu gani sijui?
Just imagine sasa huyo alivyo anajiita mina-ally insta you can check her
 
Ongea na JF ufanye kipindi masaa mawili mara moja kwa wiki. Kikipata umaarufu unaongeza labda mara mbili au hata tatu kwa wiki. Topic chagua mwenyewe utakazo.
Naunga mkono hoja,tunahutaji vipindi hata vya audio tu.kuna baadhi yetu humu vipaji wanavyo.
 
Ongea na JF ufanye kipindi masaa mawili mara moja kwa wiki. Kikipata umaarufu unaongeza labda mara mbili au hata tatu kwa wiki. Topic chagua mwenyewe utakazo.
Asante kwa ushauri broh [emoji120]
 
Reactions: BAK
Wangapi wamemuhonga?
 
Hivi Diva ni lini ataweka picha yake isiyo na filters jamani?
Yani Diva OG bila kumuonea kwa watu wengine waliompiga picha haiwezekani kwenye a/c yake!
Usimuonee diva jamani ebu leta picha ya celebrity yoyote wa kike toka bongo ambaye aliwahi post picha yeye mwenyewe isiyo ma filter toka camera 360 iingie
 
Usimuonee diva jamani ebu leta picha ya celebrity yoyote wa kike toka bongo ambaye aliwahi post picha yeye mwenyewe isiyo ma filter toka camera 360 iingie
Mkuu,karibia ya wote wanaweka na kutumia ila Diva kazidi.
Zake anaedit mnoooo,halafu wala hajui maana anakuwa kituko zaidi.
Angewauliza wenzie wataalam wa kuedit Lulu,Wolper n.k
 
Mkuu,karibia ya wote wanaweka na kutumia ila Diva kazidi.
Zake anaedit mnoooo,halafu wala hajui maana anakuwa kituko zaidi.
Angewauliza wenzie wataalam wa kuedit Lulu,Wolper n.k
Hahaha sema simpendi hata sauti yake ila alikiwaga ananipa stimu kipindi niko chuo simjui hata sura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…