Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Huyu ni Tira.
Ananikumbusha enzi izo blue triple A
Ananikumbusha enzi izo blue triple A
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora usimuone hivyo hivyo maana mamy baby ni kisu kuliko huyo minaPicha ya mina wekeni
Yani Mamy Baby ni kisu kwa huyo Mina? [emoji15]Bora usimuone hivyo hivyo maana mamy baby ni kisu kuliko huyo mina
Nifah nlikumis sana mtoto mzuri upo?Eeh ila wambea nimewavulia kofia, wiki kadhaa nilisikia makelele kuwa diva katimuliwa clouds ,diva mwenyewe akatoa mchambo wa haja kukanusha,kumbe kweli bibie kitumbua kimeingia mchanga,looh maskini pole diva![]()
filters ndio nini huku Songea hilo neno hatujawahi kulisikia kabisa dah..Hivi Diva ni lini ataweka picha yake isiyo na filters jamani?
Yani Diva OG bila kumuonea kwa watu wengine waliompiga picha haiwezekani kwenye a/c yake!
Mina mkali bana kwa Mamy babyYani Mamy Baby ni kisu kwa huyo Mina? [emoji15]
OMG! Mamy baby yule mbovu kama kitu gani sijui?
Nipo mkuu,umepotea sana bhana.Nifah nlikumis sana mtoto mzuri upo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nimeshangaa Mamy alivyo mbovu kama ni afadhali kwa huyo Mina sijui ingekuwaje aiseee.Mina mkali bana kwa Mamy baby
Mkuu ningekuwa mtangazaji tupambanishwe na huyo Diva ningemuacha mbali sana [emoji4]Atahamia EFM kwa shoga yake Dina.....ila huyu mtoto bado yupo juu anajua kuji apgrade wanga akina Nifah mtakufa na vijiba vya roha
Ni kurembaremba picha shemela.filters ndio nini huku Songea hilo neno hatujawahi kulisikia kabisa dah..
Huna fani ya utangazaji Diva mpaka kufika hapo alipo ni jitihada zake wewe kuna jitihada gani ulioifanya mpaka utake battle nae humuwezi hata kidogoMkuu ningekuwa mtangazaji tupambanishwe na huyo Diva ningemuacha mbali sana [emoji4]
Mie wala sina kijiba cha roho kwake mbona? Nimejipigia tu chapuo hahahaaaaaa
Maji mara moja enziii zileeEeh ila wambea nimewavulia kofia, wiki kadhaa nilisikia makelele kuwa diva katimuliwa clouds ,diva mwenyewe akatoa mchambo wa haja kukanusha,kumbe kweli bibie kitumbua kimeingia mchanga,looh maskini pole diva![]()
Ulishapiga nini beste? Maana wewe nae sio wa mchezomchezo [emoji12]Maji mara moja enziii zilee
Sa wote picha zao sizijui. weka ya mami nitajua mbele kwa mbele ya mina.Bora usimuone hivyo hivyo maana mamy baby ni kisu kuliko huyo mina