PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Mueke na wa south tulinganishe chata ya ndomo tuone.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mueke na wa south tulinganishe chata ya ndomo tuone.
Naunga hoja; kasaidiwa hapa kuhudumia mzigo sheikh.Huyo mtoto hafanani na diamondi hata 2%
Hapo kapewa tu...asaidie malezi na hizo laki tano kwa week...basi lakini mtoto sio wake.....mbn mwanzo kabla hajazaa na zari hakupewa hata wa kusingiziwa?sababu alikuwa NGACHOKANaunga hoja; kasaidiwa hapa kuhudumia mzigo sheikh.
Nasikia ww ndo baba akeHapo kapewa tu...asaidie malezi na hizo laki tano kwa week...basi lakini mtoto sio wake.....mbn mwanzo kabla hajazaa na zari hakupewa hata wa kusingiziwa?sababu alikuwa NGACHOKA
Mtoto akiwa mchanga nywele huwa hivyoNywele vip mbona kama chotara
Ndo hivyo Mkuu komwe kama tunda la ubuyu karithi kwa mama.Mtoto wao mzuri,komwe naona kachukua kwa hamisa mdomo kwa chibu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wekeni na picha za watoto zenu tulinganishe kama hawajafanana na Mangi mwenye kibanda cha chips.
[emoji23][emoji23]kwa hiyo hawa watoto madomo ndo chata yao...maana kila picha zao lazima wawavizie watoto wakati wamefumbua midomo ndo wawapige...ni kahensam lakini mashaallah.
Ila walimnyoa kweli nywele za kuzaliwa nazo huyu,au wameunganisha tu na hizo singasinga alizozaliwa nazo!
Katoto kazur mno..ila ndo kameshabebeshwa roho ya kukataliwa!
Na weww itakuwa shangazi yake tu... sio bureNasikia ww ndo baba ake
kwa kweli aise...kuna mambo ukifikiria sana mbali na kulaumu wazazi wake unaweza hata kumkufuru Mungu,kwanini alijaalia mtoto mzuri kama huyu aje dunia kwa njia chafu na ya fedheha kama hii!!Katoto kazur mno..ila ndo kameshabebeshwa roho ya kukataliwa!
teh teh teh,ila nzuri hii maana ukisingiziwa tu unatafuta alama yako muhimu,kama hana unamkana futi mia sio wako,na swali litakuja "mbona huyu hafanani na wale wengine?"Ha ha ha. Kaaazi kweli kweli!! Kwa madai yao hakuna haja ya kipimo cha DNA