Picha: Mtoto wa Diamond na Hamisa

Zari na Diamond kwangu mie ni malaya wa kike na kiume wamekutana kushare vikojoleo vyao period. Hakuna wa kumnyooshea mwenzake kidole na ndio maana wanasonga na maisha; ndege wafananao huruka pamoja. Na hii dhambi uwa haimuachi mtu salama, uzao wao nao utaendelea vivyo hivyo. Tuwaombee tu waepuke magonjwa pia.
 
Hamna kuchoka mpaka kieleweke ila usisahau kunitaarifu mkeka utakao tupia na mimi
okay nimeweka huu wa kwanza Roma,Atletico madrid,juve,barca huyu man nina wasiwasi nae kama livefool leo Pogba si hayupo...
 
okay nimeweka huu wa kwanza Roma,Atletico madrid,juve,barca huyu man nina wasiwasi nae kama livefool leo Pogba si hayupo...
Wape droo hao man united maana wamepewa point ile ile ya gundu
 
Huyu mtoto DNA ni 101% ila diamond afanye aoe maana ktk uislam mtihani mtupu hana mtoto ht mmoja(mnisamehe nliowakwaza ila ndo ukweli mtoto wa nje ni wa mama)
Haswaa kama huyo Latifah atakumuoa anaweza akiwa mkubwa.maana watoto waliozaliwa nje ya ndoa ni wa mama.kifupi Dai hana mtoto.
 
Behind the scene wewe unaweza ukawa ni choko mchafu kuliko hata hawa unaowalaani hapa...

Who r u to judge!!!??
 
okay nimeweka huu wa kwanza Roma,Atletico madrid,juve,barca huyu man nina wasiwasi nae kama livefool leo Pogba si hayupo...
Atletico kakuchania dah! mimi Bayern kachoma kibandq
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…