Picha: Mtuhumiwa wa mauaji ya Padri Mushi mahakamani

Picha: Mtuhumiwa wa mauaji ya Padri Mushi mahakamani

Status
Not open for further replies.
Mbona Rwakatare wenu alikuwa anatabasamu na kuonesha alama ya "manati" mahakamani hamsemi????

Shame on U; already JUDGING someone... Umeshindwa kuongelea hili JAMBO mpaka ULETE HOJA ambayo Haipo? HAPA kwa UFUPI SIJUI HUYO RWAKATARE lakini kama unataka nijibu ni kuwa --- Unajua DEFINITION ya GAIDI? I MEAN TERRORIST?

Here is the Definition of TERRORISM - Terrorism is the unlawful use orthreat of violence against persons or property to further political or socialobjectives. It is usually intended to intimidate or coerce a government, individualsor groups, or to modify their behavior or politics.
 
No one is guilty till proved by the court!
 

FRIDAY, APRIL 05, 2013

[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Mtuhumiwa wa mauaji ya Padri Evarist Mushi wa Kanisa Katoliki parokia ya minara miwili mjini Zanzibar, Omar Mussa Makame (35) akiongozwa na Askari polisi kuingia katika Mahakama Kuu ya Zanzibar kusikiliza kesi inayomkabili.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Mshitakiwa wa Mauaji ya Padri Evarist Mushi wa Kanisa Katoliki parokia ya minara miwili mjini Zanzibar, Omar Mussa Makame (35) kulia akizungumza na mawakili wake Abdalla Juma kushoto na Rajab Abdalla muda mfupi baada ya kutajwa kwa kesi yake Mahakamani hapo.

Mawakili wanaomtetea Mtuhumiwa wa mauaji ya Padri , Evarist Mushi wa Kanisa Katoliki parokia ya minara miwili mjini Zanzibar, Omar Mussa Makame (35) wakili Abdalla Juma (kulia) na Rajab Abdalla wakiwa mezani pao kabla ya kutajwa kwa kesi ya mteja wao katika mahakama Kuu Vuga mjini Zanzibar

Mtuhumiwa wa Mauaji ya Padri Evarist Mushi wa Kanisa Katoliki parokia ya minara miwili mjini Zanzibar, Omar Mussa Makame (35) akiwa katika Mahakama Kuu ya Zanzibar kabla ya kesi yake kutajwa mahakamani hapo.
Picha zote na Haroub Hussein.

FRIDAY, APRIL 05, 2013 ~ COPYRIGHT: MICHUZI BLOG





He is not crazy, anachekelea fidia baada ya jamhuri kushindwa kuprove madai. Wewe unafikiri angekua muuaji angecheka?

Halafu angeachwa huru bila pingu, wakati Lwakatare anayetuhumiwa tu kupanga sio kutenda anapelekwa mahakamani akiwa na pingu?

Muuaji anaacheekaa!!!!... Yaelekea anajua kesi yake ipo tu ili upepo upite!!!! ... Ni kulindana tu!!! Huyu mtu anaweza kujulishwa kuwa mashitaka yake ni mepesi!!!... Maana waendesha mashtaka woote ni DINI MOJA!!!!...
 
Kikatuni cha FBI.jpg

Expand hiyo uone wanavyofanana! Leta mchezo sana nyie!
 
Lakin anafanana na kale ka mchoro.this guy is guilty anachojaribu kufanya kwa kutabasamu,ni kujifariji na kuaminisha umma kwamba he is oke.angekuwa anasingiziwa ungeona alivyo nywea.
 
kwanini FBI wamchore yeye?? kati ya mamilioni ya watu wote tanganyika na zanzibar?? kwanini yeye??? halafu sasa sio yeye?? kuna nini hapa?

Wewe unaamini picha ya kuchora??? Kumbuka mchoro huchorwa kwa mujibu wa maelezo ya walioshuhudia tukio. Sasa yawezekana mtoa maelezo akawa hana elimu sana ya kujua namna ya kutoa maelezo. Mfano, mtu akiulizwa mtu huyo ni mweusi au mweupe? Akajibu ni mweupe kumbe yeye alimaanisha weupe tunaoujua sisi katika wajihi wa mwanadamu yaani maji ya kunde. ama akaulizwa mtuhumiwa ni mrefu ama mfupi yeye akasema mfupi kumbe hajui mtuhumiwa ni mrefu ila kwa kuwa alikuwa kakaa kwenye pikipiki ndo maana ameona kuwa ni mfupi etc etc. Mimi naamini sana ushahidi wa kumkamata mtuhumiwa katika eneo la tukio kabla hajakimbia. Hapo huwa sina ubishi ingawa sheria ya ushahidi napo pia huwa kuna ka-ugumu kake ka ku-provu.
Maelezo wanayotoa wanaoulizwa na wachoraji hutegemea sana na namna wanavyoulizwa maswali na wachoraji. Wanaweza wakawa na lengo la kufanya uchunguzi haraka hivyo kutaka walioushudia tukio hilo kutoa ushahidi wa haraka ili kutoa ripoti. Yawezekana mtoa maelezo akatoa maelezo yanayomuhusisha mtu mwingine kabisa, yaani picha itakayopatikana kutokana na malezo ikawa ni ya mtu mwingine asiyehusika. Kwa mfano, maelezo waliyoyapata FBI na mchoro uliotengenezwa vingefanana na DPP ingekuwaje hapo? Kumbuka wabongo huwa si wazuri sana katika kutoa maelezo kwa kimombo, sasa sijui FBI walitumia lugha gani?
 
Wapi nimesema ni CRAZY? Issue ya LWAKATARE ni tofauti HUYO Unayemsema Lwakatare walipekuwa MAKAO YAKE hawakupata SILAHA sasa sijui UGAIDI wake UKOJE...

Wewe unawekwa Jela unatoka kwenda Mahakamani unatabasamu; na Unasema Jamhuri Imeshindwa kuprove... Nisengekuwa nachekea hizo CAMERA zao; Wamenichukulia UHURU wangu kwa siku hizo nilizokaa JELA? sijui kama anaruhusiwa KUISHITAKI JAMHURI...

Omar ni mwanasiasa na anajua kinachoendelea. Wewe usiyejua subiri uone mwisho wake.

Wangekuwa na ushahidi hata nusu ya wa Lwakatare nafikiri kesi yake ingepelekwa Marekani.
 
Wapi nimesema ni CRAZY? Issue ya LWAKATARE ni tofauti HUYO Unayemsema Lwakatare walipekuwa MAKAO YAKE hawakupata SILAHA sasa sijui UGAIDI wake UKOJE...

Wewe unawekwa Jela unatoka kwenda Mahakamani unatabasamu; na Unasema Jamhuri Imeshindwa kuprove... Nisengekuwa nachekea hizo CAMERA zao; Wamenichukulia UHURU wangu kwa siku hizo nilizokaa JELA? sijui kama anaruhusiwa KUISHITAKI JAMHURI...

Kwani amekwisha achiwa?
 

Wewe MBAYA kweli... Kweli wanafanana haswa... LOL

Wnataka kumuonea kijana wa watu bure wakati hizo picha hapo zinaonesha wazi wazi. Ndio maana DPP aliwaambia hakuna kesi mtafuteni muuaji mnamjua.

DPP alipoona serikali inalazimisha akawambia haya nendeni mahakamani.
 
Lakin anafanana na kale ka mchoro.this guy is guilty anachojaribu kufanya kwa kutabasamu,ni kujifariji na kuaminisha umma kwamba he is oke.angekuwa anasingiziwa ungeona alivyo nywea.
sure anataka kuuaminisha umma kuwa si yeye..Njia hiyo ya kutabasamu wakati unahisiwa kufanya kosa nilisha wahi kuitumia nikiwa secondary na mwishowe kwa confidence niliyoonyesha niliachiw, ingawa kosa kweli nililifanya.Kwahio hapo huyo gaidi anachofanya ni defence mechanism
 
Omar ni mwanasiasa na anajua kinachoendelea. Wewe usiyejua subiri uone mwisho wake.

Wangekuwa na ushahidi hata nusu ya wa Lwakatare nafikiri kesi yake ingepelekwa Marekani.

Kwanini Waipeleke MAREKANI? Oh Omar ni Mwanasiasa... kwahiyo una Maana Maadui zake kisiasa ndio wanaomtendea hayo?
 

Shame on U; already JUDGING someone... Umeshindwa kuongelea hili JAMBO mpaka ULETE HOJA ambayo Haipo? HAPA kwa UFUPI SIJUI HUYO RWAKATARE lakini kama unataka nijibu ni kuwa --- Unajua DEFINITION ya GAIDI? I MEAN TERRORIST?

Here is the Definition of TERRORISM - Terrorism is the unlawful use orthreat of violence against persons or property to further political or socialobjectives. It is usually intended to intimidate or coerce a government, individualsor groups, or to modify their behavior or politics.

Mbona unakasirika bila sababu? Suala hapa si ugaidi ama defintion....Wewe umesema kwanini huyo jamaa anatabasamu akiwa mahakamani. hoja ni kwanini mtu yuko eneo la mahakama halafu haoni kama ni vibaya ama huzuni bali yeye anaonesha furaha tu. Uzito wa kosa si issue bali ni kitendo cha kuonesha furaha na mapozi mahakamani. Kama Rwakatare alikuwa anatabasamu kwa kuwa hana kosa basi iweje huyu bwana uone kuwa anakosa? Yawezekana nae hana kosa ila wewe unalazimisha kuwa anakosa. Usikasirike tujadili hoja mkuu.
 
Wewe unaamini picha ya kuchora??? Kumbuka mchoro huchorwa kwa mujibu wa maelezo ya walioshuhudia tukio. Sasa yawezekana mtoa maelezo akawa hana elimu sana ya kujua namna ya kutoa maelezo. Mfano, mtu akiulizwa mtu huyo ni mweusi au mweupe? Akajibu ni mweupe kumbe yeye alimaanisha weupe tunaoujua sisi katika wajihi wa mwanadamu yaani maji ya kunde. ama akaulizwa mtuhumiwa ni mrefu ama mfupi yeye akasema mfupi kumbe hajui mtuhumiwa ni mrefu ila kwa kuwa alikuwa kakaa kwenye pikipiki ndo maana ameona kuwa ni mfupi etc etc. Mimi naamini sana ushahidi wa kumkamata mtuhumiwa katika eneo la tukio kabla hajakimbia. Hapo huwa sina ubishi ingawa sheria ya ushahidi napo pia huwa kuna ka-ugumu kake ka ku-provu.
Maelezo wanayotoa wanaoulizwa na wachoraji hutegemea sana na namna wanavyoulizwa maswali na wachoraji. Wanaweza wakawa na lengo la kufanya uchunguzi haraka hivyo kutaka walioushudia tukio hilo kutoa ushahidi wa haraka ili kutoa ripoti. Yawezekana mtoa maelezo akatoa maelezo yanayomuhusisha mtu mwingine kabisa, yaani picha itakayopatikana kutokana na malezo ikawa ni ya mtu mwingine asiyehusika. Kwa mfano, maelezo waliyoyapata FBI na mchoro uliotengenezwa vingefanana na DPP ingekuwaje hapo? Kumbuka wabongo huwa si wazuri sana katika kutoa maelezo kwa kimombo, sasa sijui FBI walitumia lugha gani?

Mtetee mtu ambaye ni mwadilifu!!!.. Je, huyu unamtetea kama nani? mfuasi wa ILUNGA? mfuasi wa uamsho? Au Unamtetea kama mwislamu wenzio??!!!..
 
Mbona unakasirika bila sababu? Suala hapa si ugaidi ama defintion....Wewe umesema kwanini huyo jamaa anatabasamu akiwa mahakamani. hoja ni kwanini mtu yuko eneo la mahakama halafu haoni kama ni vibaya ama huzuni bali yeye anaonesha furaha tu. Uzito wa kosa si issue bali ni kitendo cha kuonesha furaha na mapozi mahakamani. Kama Rwakatare alikuwa anatabasamu kwa kuwa hana kosa basi iweje huyu bwana uone kuwa anakosa? Yawezekana nae hana kosa ila wewe unalazimisha kuwa anakosa. Usikasirike tujadili hoja mkuu.

Kwa huyu umekuwa mpole na kutoa hoja za kushauri vipi unasukumwa na udini?!!!
 
Wnataka kumuonea kijana wa watu bure wakati hizo picha hapo zinaonesha wazi wazi. Ndio maana DPP aliwaambia hakuna kesi mtafuteni muuaji mnamjua.

DPP alipoona serikali inalazimisha akawambia haya nendeni mahakamani.

Sasa Mahakamani POLISI walikuwa na USHAHIDI wowote?
 
Kwanini Waipeleke MAREKANI? Oh Omar ni Mwanasiasa... kwahiyo una Maana Maadui zake kisiasa ndio wanaomtendea hayo?

Umeshasahau kipindi kile polisi walikuwa wakipaka vinyesi kwenye visima na mashule halafu wakawa wanawasingizia raia?

Hakuna aliyeamini mpaka siku defender ya polisi ilipokamatwa usiku wa manane na wanakijiji ndipo mambo yale yalipokoma.

Na hii ya huyu Padri Mushi Kamishna Mussa anaijua vizuri na ndio maana wakakorogana na DPP.

Baada ya wimbi la wazanzibar kutaka mabadiliko makubwa ya muungano lilokuwa likiongozwa na UAMSHO, kama kawaida
yake system ikaamua sasa kufanya character assassination kwa UAMSHO. Kilele chake ndio hicho sasa piga risasi askofu
halafu kamata wape jina baya kuwanyamazisha.

Ila sasa hii imewakamata pabaya kwa sababu hawawezi kumkamata aliyeshusika siri itafichuka!

Ndio maana Omar anacheeka, watu mtaani wanacheeka! Mwisho wa siku serikali lazima ilipe fidio. Full stop.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom