Yeee alikwenda o hakwenda????
Yeee alikwenda o hakwenda????
Diamond na Wema ni kina nani??
Aya sasa njooni muone huku makavu live TATIANA, Dinazarde, Heaven on Earth, BADILI TABIA, amu, geniveros, Mrembo by Nature, ladykims, princess sayuni, Matola, mamakibunju, Honey Faith, Ruttashobolwa, ramu, qn of sheba, zavi
Hahahahahaha binamu umenichekesha eti kaka mtunisyNshamfollow kaka mtunisy instagram, kaongea point sana, ila nashangaa tu huyu kaka yetu huu UMBEA na kumfuatilia wema sepetu na ndomo kaanza lini, maana jamaa jinsi alivyo na mambo aliyoyafanaya hata haviendani, mi nta ku follow tu insta kwa kuwa umenifuraisha sana leo japokuwa tu aliyetoa ujumbe ndo sikumtegemea, unajua nilikuwa nakuheshimu sana mtunisy? We hujui tu
Hahahahahaha binamu umenichekesha eti kaka mtunisy
wajumbe kamati kuu NEC
Team wema sasa kama kawaida yao, wamemchamba maskini kaka watu, jamaa mwenyew hata hajui kuongea na kigugumizi chake
Sasa team wema imenishangaza tu jinsi waavyochamba , yani hawaeleweki hata kidogo, jamaa kawapa makavu live, eti mmoja wa tea wema anakwambia eti wema na ndomo wameshaona kisir kabla ya ramadhan et walifunga ndoa ya siri kukwepa umbea, nikasema labda sio mama ubaya huyu na ndomo huyu tunayemjua sie
Diamond na Wema ni kina nani??
Nshamfollow kaka mtunisy instagram, kaongea point sana, ila nashangaa tu huyu kaka yetu huu UMBEA na kumfuatilia wema sepetu na ndomo kaanza lini, maana jamaa jinsi alivyo na mambo aliyoyafanaya hata haviendani, mi nta ku follow tu insta kwa kuwa umenifuraisha sana leo japokuwa tu aliyetoa ujumbe ndo sikumtegemea, unajua nilikuwa nakuheshimu sana mtunisy? We hujui tu