Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Maisha ya bongo ni mwendo wa kuchomekana tu kwa hio usishangae saaanaNa mpiga picha wetu.
Muuza madafu akiwa katika vazi rasmi la ajira yake,Naaam ni yeye kabisa akiwa katika shughuli zake za kiserikali.
matunduizi amesema labda anatumiwa Kwa mkopoSi mlisema ni askari wa JW au kawa polisi tena!
Yule ni jeshi binafsi ,anakodiwaga na TISS ,JW ,na watu wa magerezaLabda wanamtumiaga kwa mkopo.
Huyu si komando jamaniNa mpiga picha wetu.
Muuza madafu akiwa katika vazi rasmi la ajira yake,Naaam ni yeye kabisa akiwa katika shughuli zake za kiserikali.
View attachment 3105337
Na apongezwe kwa kusaidia nchi kuwa tulivu siku ya jana😁😁Acha achape kazi ni mzalendo na hazina ya Taifa
Kama ambavyo tulizugwa kwamba ni muuza madafu na si askari, vile vile tunaweza endelea kuzugwa kuwa si JW bali ni polisiSi mlisema ni askari wa JW au kawa polisi tena!
DuuuNa mpiga picha wetu.
Muuza madafu akiwa katika vazi rasmi la ajira yake,Naaam ni yeye kabisa akiwa katika shughuli zake za kiserikali.
View attachment 3105337
Usajili wa mkopo😁Si mlisema ni askari wa JW au kawa polisi tena!
Hahaha! Ni Joram Kiango huyoYul
Yule ni jeshi binafsi ,anakodiwaga na TISS ,JW ,na watu wa magereza