Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo huyo huyo si nasikia alijisomesha masomo ya ukomando nchi sita huko Marekani ,India ,Cuba na Ujerumani na zinginezo alafu aliporudi nchini akaanza kusambaza maombi ya kumuazima kwa kazi maalumu hivyo lazima tutamuona katika vyombo vingi maana yeye ni komando na jasusi binafsi anakodiwa na kila jeshiHahaha! Ni Joram Kiango huyo
atajua mwenyewe!Na mpiga picha wetu.
Muuza madafu akiwa katika vazi rasmi la ajira yake,Naaam ni yeye kabisa akiwa katika shughuli zake za kiserikali.
View attachment 3105337
Hizo ni uniform tu hata Kada wa CCM anaweza kuvaaSi mlisema ni askari wa JW au kawa polisi tena!
Si kama kilichotokea Zanzibar ,yale mauaji na unyama uliofanywa na magufoool na genge lake la vibaka hawa , Tanzania ni nchi ambayo inatumia jwtz kuua na kukandamiza raia , ni nchi ya ovyo isiyo na tofauti na shitholes nyingineNina wasi wasi Wanajeshi wengi walivaa sare za askari polisi jana.
Si mlisema ni askari wa JW au kawa polisi tena!
Labda wanamtumiaga kwa mkopo.
AiseeNina wasi wasi Wanajeshi wengi walivaa sare za askari polisi jana.
Ila huyo sio mimi.Kwenye operation hizi hata JWTZ wanaweza kuvalishwa kipolisi
Kwahili kafiri upo sahihi 😀😀😀 Huyo sio mimi wananisingizia. Mi nauza madafu tu.Wa Tz wengi ni kama nyumbu wanapenda kupeana stori za kufikirika we kwa akili yako unaona wanafanana hao?
Wananusingizia tu huyo sio mimi. Mi nauza madafu tu.Si mlisema ni askari wa JW au kawa polisi tena!
Mi nabeba zege na kuuza madafu. Huyo sio mimi wananisingizia tu.Kuna mwamba uwa anabeba zege😂😂😂