Nina wasi wasi Wanajeshi wengi walivaa sare za askari polisi jana.
Si kama kilichotokea Zanzibar ,yale mauaji na unyama uliofanywa na magufoool na genge lake la vibaka hawa , Tanzania ni nchi ambayo inatumia jwtz kuua na kukandamiza raia , ni nchi ya ovyo isiyo na tofauti na shitholes nyingine
Jwtz majukumu yake ni kulinda mipaka ,ila utashangaa jwtz huwa wanatumika mpaka kwenye utekaji na mauaji ya civilians ,kama mauaji ya 2020 baada ya uchaguzi Zanzibar , kule Mkiru , mauaji ya 2001 enzi za mkapa kule Zanzibar wakati wa uchaguzi .
Hawa vibaka wa jwtz walipelekwa kule kufanya genocide na unyama mkubwa wakiwa wamevaa jezi za polisi , kiufupi Tanzania vyombo vyote vya dola wanatumika kama condom na ccm .
Kuna watu hawajiulizi polisi walipata wapi guts za kuua askari mstaafu wa jeshi , hata hii death squad ya utekaji na mauaji itakuwa imendwa na magenge yote ya dola yote jwtz ,polisi ,TISS ,magereza nk .
Hawa washenzi wote ni takataka ,hamna mwenye nafuuu