Ukiacha bangi utakuwa mwehu, Acha vingine vyote sio bange🎶Leo ni Sherehe sherehe naaacha bhange 🎶🎶
Jitahidi walau kila wiki upate skanka ya buku 10, hainaga mbambamba,. Inafukuza majini, wachawi, wanafiki, chawa na vimbelembele wote. Mmea hauongopiYa dar wanachanganya na tumbaku nikivuta Kuna mda nakohoa, lkn ya Arusha haina shida navuta hata siku nzima hainipi shida
recorded picha na video ya kucahapiwa ni chungu na ngumu sana kuangalia
Mbona pulizio hii halina rangi?Jirani yake huyu hapaView attachment 2818421
Hahaha 🤣Mkuu nimecheka sababu yalishawahi nikuta,..now ni expert🤠
Mkuu hzi picha umezitoa wapi,yaani huyu ni mm kabisa,hasa siku nikiambiwa nimepiga show mbovu