Picha: Mwamba kimemkuta nini tena?

Picha: Mwamba kimemkuta nini tena?

Ya dar wanachanganya na tumbaku nikivuta Kuna mda nakohoa, lkn ya Arusha haina shida navuta hata siku nzima hainipi shida
Jitahidi walau kila wiki upate skanka ya buku 10, hainaga mbambamba,. Inafukuza majini, wachawi, wanafiki, chawa na vimbelembele wote. Mmea hauongopi
 
Ana tatizo la nguvu za kiume,anafanya kila njia ili ziongezeke, lakini wapi.
 
Hapo mwenyewe wiki endi ushajipanga demu wako aje ule mzigo alafu bosi wako anakutumia ujumbe uende ofisini mara moja kuna wagawageni muhimu wa kampuni wapo wanakuja.
 
Ushajikoki hapo manzi aje wiki endi kwa ajili ya kupiga show , mara ana kutext "babe leo siwezi kuja nyumbani kuna wageni mama kaniambia nimsaidie dada kupika. "
 
Back
Top Bottom