Machaliii ya r-chuga meeen!
huyu jamaa c ndo alii2kanaga jf kpnd kile 2meweka habar ya yeye kupgwa akiwa jukwaan..
kilichonivutia ni aina ya ndoa iliyofungwa.
dah! kama vile wanakwenda shopping?
hii ndoa safi sana hakuna mwenye uhakika kumumiliki mwenzake maisha akikuzingua hakuna cha paroko wala sheikh kuja kusuruhisha..
yap ndio uyo...kashaolewa sasa
kilichonivutia ni aina ya ndoa iliyofungwa.
dah! kama vile wanakwenda shopping?