Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😬😬😬😆😆😆🤣🤣😁😁😁Huyu ndio anajua kupambania chama.
View attachment 2234589
Unamjua Mama Tanzania?Unamuuliza nani?
Nawaza tu kama Uvccm mnaweza kukipambania chama chenu kama huyo Mwenezi wa NCCR Mageuzi!Huyu ndio anajua kupambania chama.
View attachment 2234589
CCM ni chama cha amaniNawaza tu kama Uvccm mnaweza kukipambania chama chenu kama huyo Mwenezi wa NCCR Mageuzi!
Maana wengi wenu mko mlenda mlenda sana.
Yule Mzee aliyelishwa sumu na Jemadari Lissu hiyo Amani ni uongo uongo.CCM ni chama cha amani
Nawaza tu kama Uvccm mnaweza kukipambania chama chenu kama huyo Mwenezi wa NCCR Mageuzi!
Maana wengi wenu mko mlenda mlenda sana.
Tanzania siyo mama. Ni babuUnamjua Mama Tanzania?
Huyu si ndio siku anahama CHADEMA alimtolea matusi Mbowe kuwa hakuna Demokrasia. Leo hii naye analialia NCCR kuwa wanaporwa chama??Huyu ndio anajua kupambania chama.
View attachment 2234589
Huyu si ndio siku anahama CHADEMA alimtolea matusi Mbowe kuwa hakuna Demokrasia. Leo hii naye analialia NCCR kuwa wanaporwa chama??
Ndio mjifunze kwamba Mbowe is much better than hao wenyeviti wengine. CHADEMA kimepitia vurugu nyingi ila chama kipo imara mpaka Leo ila NCCR,TLP,UDP, na CUF vilikufa kwa sababu ya migogoro.
Long live CHADEMA
Huyu ndio anajua kupambania chama.
View attachment 2234589