Picha: Mwenezi NCCR Mageuzi akiwa na jiwe mkononi huku akiwafurusha mamluki wa Sisty Nyahoza

Picha: Mwenezi NCCR Mageuzi akiwa na jiwe mkononi huku akiwafurusha mamluki wa Sisty Nyahoza

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Huyu ndio anajua kupambania chama.
wazichapaa-data.jpg
 
Hiyo migogoro inapandikizwa,nilijua kurudi kwa Kinana ndio Bingwa wa kutuma Bundi kwenye makao ya Wapinzani

Chadema tuweni makini sana.
 
James Mbatia ni Sukuma Gang na alianza kuparura sasa anapapaswa ipasavyo

Mtoto aliezaliwa wakati Mbatia anakuwa Chairman wa NCCR sasa hivi ana miaka 22
 
Huyu ndio anajua kupambania chama.
View attachment 2234589
Huyu si ndio siku anahama CHADEMA alimtolea matusi Mbowe kuwa hakuna Demokrasia. Leo hii naye analialia NCCR kuwa wanaporwa chama??

Ndio mjifunze kwamba Mbowe is much better than hao wenyeviti wengine. CHADEMA kimepitia vurugu nyingi ila chama kipo imara mpaka Leo ila NCCR,TLP,UDP, na CUF vilikufa kwa sababu ya migogoro.

Long live CHADEMA
 
Huyu si ndio siku anahama CHADEMA alimtolea matusi Mbowe kuwa hakuna Demokrasia. Leo hii naye analialia NCCR kuwa wanaporwa chama??

Ndio mjifunze kwamba Mbowe is much better than hao wenyeviti wengine. CHADEMA kimepitia vurugu nyingi ila chama kipo imara mpaka Leo ila NCCR,TLP,UDP, na CUF vilikufa kwa sababu ya migogoro.

Long live CHADEMA

Kwa kifupi chama chochote ambacho mwenyekiti wake ni mchaga huwa kinakufa kimya kimya! Mrema, Mbowe, Mbatia ( MMM). Angalieni herufi hizo kwenye mabano!
 
Back
Top Bottom