Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Kwa hiyo John Cheyo na UDP yake naye ni Mchaga! Jonh Shibuda na chama chake cha mfukoni, naye ni Mchaga!Kwa kifupi chama chochote ambacho mwenyekiti wake ni mchaga huwa kinakufa kimya kimya! Mrema, Mbowe, Mbatia ( MMM). Angalieni herufi hizo kwenye mabano!