Picha: Mwenezi NCCR Mageuzi akiwa na jiwe mkononi huku akiwafurusha mamluki wa Sisty Nyahoza

Picha: Mwenezi NCCR Mageuzi akiwa na jiwe mkononi huku akiwafurusha mamluki wa Sisty Nyahoza

Kwa kifupi chama chochote ambacho mwenyekiti wake ni mchaga huwa kinakufa kimya kimya! Mrema, Mbowe, Mbatia ( MMM). Angalieni herufi hizo kwenye mabano!
Kwa hiyo John Cheyo na UDP yake naye ni Mchaga! Jonh Shibuda na chama chake cha mfukoni, naye ni Mchaga!
 
Huyu si ndio siku anahama CHADEMA alimtolea matusi Mbowe kuwa hakuna Demokrasia. Leo hii naye analialia NCCR kuwa wanaporwa chama??

Ndio mjifunze kwamba Mbowe is much better than hao wenyeviti wengine. CHADEMA kimepitia vurugu nyingi ila chama kipo imara mpaka Leo ila NCCR,TLP,UDP, na CUF vilikufa kwa sababu ya migogoro.

Long live CHADEMA
Mbatia anahusika vipi? Sio kwamba yeye ndio anahujumiwa?

Mbowe is much better kwa kipi? Kukaa madarakani kwa miaka 25?
 
Kwa kifupi chama chochote ambacho mwenyekiti wake ni mchaga huwa kinakufa kimya kimya! Mrema, Mbowe, Mbatia ( MMM). Angalieni herufi hizo kwenye mabano!
Na mama yako naye si jina lake linaanza na herufi M?
 
Mama Tanzania bora hakuwepo hapo nje,angepondwa na hilo jiwe,Mmmmh...
 
Kwa kifupi chama chochote ambacho mwenyekiti wake ni mchaga huwa kinakufa kimya kimya! Mrema, Mbowe, Mbatia ( MMM). Angalieni herufi hizo kwenye mabano!
UDP ni Cha mchagga? CUF ni Cha mchagga? Mbona vimekufa wakati vilikua vyama vikubwa.
 
Mbatia anahusika vipi? Sio kwamba yeye ndio anahujumiwa?

Mbowe is much better kwa kipi? Kukaa madarakani kwa miaka 25?
Much better CHADEMA kina members zaidi zaidi ya million 4 kuna upinzani Gani unakaribia au umewahi kufika hiyo namba??

CHADEMA ipo Kila mtaa na Kijiji nchi hii je kuna upinzani mwingine katawanyika hivyo???
 
Much better CHADEMA kina members zaidi zaidi ya million 4 kuna upinzani Gani unakaribia au umewahi kufika hiyo namba??

CHADEMA ipo Kila mtaa na Kijiji nchi hii je kuna upinzani mwingine katawanyika hivyo???
Wanachama mil 4????
 
Wanachama mil 4????
Kwani toka 2010 kuna uchaguzi wowote tumepata kura chini ya million 2?? Sasa what's shocking kuwa na members million 4!! Hao CCM mbona walidai Wana members 16 million na sikuona mkishangaa!!!

CHADEMA ni msingi imesajili wanachama million 6 sema ukitoa walio na kadi za vyama viwili, waliohama n.k ndio tuna round off 4 million core members nationwide.
 
Mwenye Ile Picture Ya Ccm Wakiwapiga Chadema Aiweke
 
Ingekuwa ni CCM yamewatokea hayo na Shaka ndo angekuwa ameshika jiwe hivyo watu wote hapa mngesema ccm inakwenda kufa ila kwakuwa ni upinzani bc mnasema watu wanapambania chama chao
 
Much better CHADEMA kina members zaidi zaidi ya million 4 kuna upinzani Gani unakaribia au umewahi kufika hiyo namba??

CHADEMA ipo Kila mtaa na Kijiji nchi hii je kuna upinzani mwingine katawanyika hivyo???
Unazungumzia Chadema ya Dk Slaa ambayo mwaka 2010 ilikuwa na nguvu karibu kila center za vijijini na ikazoa madiwani kibao?

Hii ya Mbowe ilishapoteza imani kwa wananchi. Usijidanganye.
 
Kwani toka 2010 kuna uchaguzi wowote tumepata kura chini ya million 2?? Sasa what's shocking kuwa na members million 4!! Hao CCM mbona walidai Wana members 16 million na sikuona mkishangaa!!!

CHADEMA ni msingi imesajili wanachama million 6 sema ukitoa walio na kadi za vyama viwili, waliohama n.k ndio tuna round off 4 million core members nationwide.
2020 CHADEMA walipata kura MIL 1.9 au hiyo si chini ya MIL 2??
 
2020 CHADEMA walipata kura MIL 1.9 au hiyo si chini ya MIL 2??
Voter turnout ilikua 100%? Kwamba wanachama woteee walipiga kura? Kingine credibility ya uchaguzi ule ipo questionable mpaka Leo yaani chama kipate kura almost 2M alafu kikose hata kata moja?? Hivi ni realistic kweli? Hata 2005 tulipopata kura laki 5 pekee tulipata walau halmshauri 2 na wabunge 11 total.

So takwimu za NEC sio realistic kivile
 
Voter turnout ilikua 100%? Kwamba wanachama woteee walipiga kura? Kingine credibility ya uchaguzi ule ipo questionable mpaka Leo yaani chama kipate kura almost 2M alafu kikose hata kata moja?? Hivi ni realistic kweli? Hata 2005 tulipopata kura laki 5 pekee tulipata walau halmshauri 2 na wabunge 11 total.

So takwimu za NEC sio realistic kivile
We kichaa nini we si umesema hawajawahi kupata chini ya Mil 2??
 
Back
Top Bottom