MOSintel Inc
JF-Expert Member
- Mar 24, 2016
- 817
- 593
Ni hii leo Jumanne Agosti 18, 2020 Jijini Dodoma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanafanya nini? Kuna wa kuleta wazo tofauti na mawazo yake? Labda kama kuna posho ndizo zilizowaleta!Ni hii leo Jumanne Agosti 18, 2020 jijini Dodoma.View attachment 1541428View attachment 1541429View attachment 1541431
Ni halali yako kujitia moyo mkuu, ila huku dhamiri yako inakushuhudia visivyoMwaka huu hawana chao kuanzia mgombea uraisi mpaka yule wa udiwani labda wabebwe tu na Tume na kwa kushirikisha na wakurugenzi.
[emoji23][emoji1787]Bavicha watakwambia kwanini huyo mwanajeshi anamsaidia Magu kubeba makabrasha ya CCM?
Amepwaya kuanzia sura hadi seraNi hii leo Jumanne Agosti 18, 2020 jijini Dodoma.
Tume inawezaje kubeba chama?Mwaka huu hawana chao kuanzia mgombea uraisi mpaka yule wa udiwani labda wabebwe tu na Tume na kwa kushirikisha na wakurugenzi.
Mkuu huu ni mkutano wa halmashauri kuu. Upo kwa mujibu wa katiba ya CCM.wanafanya nini? Kuna wa kuleta wazo tofauti na mawazo yake? Labda kama kuna posho ndizo zilizowaleta!
😂😂😂Bavicha watakwambia kwanini huyo mwanajeshi anamsaidia Magu kubeba makabrasha ya ccm?
Hata hiyo nayo ni mbinu.Mwaka huu hawana chao kuanzia mgombea uraisi mpaka yule wa udiwani labda wabebwe tu na Tume na kwa kushirikisha na wakurugenzi.
Hayo ndio mambo ya ajabu ya siasa za nchi hii mwanajeshi naye yupo ndani ya kikao cha kamati kuu ya CCM?Bavicha watakwambia kwanini huyo mwanajeshi anamsaidia Magu kubeba makabrasha ya CM?
Nadhani hii ni kuendelea kumu-endorse mgombea wa CCM aonekane kuwa Urais ni Mali yake kwa miaka mitano ijayo.Bavicha watakwambia kwanini huyo mwanajeshi anamsaidia Magu kubeba makabrasha ya ccm?
Najua sana, but it is symbolic in Magufuli's era!Mkuu huu ni mkutano wa halmashauri kuu. Upo kwa mujibu wa katiba ya CCM.
👍👍Ni hii leo Jumanne Agosti 18, 2020 jijini Dodoma.