MOSintel Inc
JF-Expert Member
- Mar 24, 2016
- 817
- 593
- Thread starter
- #21
Nani huyo?Amepwaya kuanzia sura hadi sera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani huyo?Amepwaya kuanzia sura hadi sera
Huyo aliekaa meza kuu sikumbuki jina lakeNani huyo?
Hii ni kweli? Unaonaje uchaguzi wa mwaka huu kwa tathimini yako katika hatua hizi za awali?Mafaili mazito na hata tabasamu analotoa Ni chungu mno akifikiri October!
Unadhani atashinda kwa asilimia ngapi?Viva CCM Viva Magufuli
Huyo ni bodyguard wake mkuu. Sidhani kama ina shida.Hayo ndio mambo ya ajabu ya siasa za nchi hii mwanajeshi naye yupo ndani ya kikao cha kamati kuu ya ccm?!!!
Sawa mkuu.Huyo aliekaa meza kuu sikumbuki jina lake
Wanasema, Wala usimpe Ibilisi nafasi,labda wabebwe tu na Tume na kwa kushirikisha na wakurugenzi.
Yule ni rais ujue? Siyo Lisu yuleHayo ndio mambo ya ajabu ya siasa za nchi hii mwanajeshi naye yupo ndani ya kikao cha kamati kuu ya ccm?!!!
Kukusanyana wadhamini kimya kimya ni unyonge? Mtu mmoja alinuiliza hivyo.Mheshimiwa amekuwa mnyonge sana toka Tundu Lissu aliporejea hapa nchini. Lakini ni lazima tumpe kila la heri ktk kinyang'anyiro ambacho anakabiliana nacho. Kutokana na mchakato wa kidemokrasia, inapawapasa Watanzania kuamua.
Funguka mkuu. Hisia hazizidi hoja.Tuna kosa raha ya uchambuzi kwa sababu tuu, Wachangiaji wengi wanacho changia ni hisia zao binafsi na sio uhalisia. Tunapoteza muda sana hapa.
Sure. Ni muhimu hilo lieleweke.Yule ni rais ujue? Siyo Lisu yule
80%Unadhani atashinda kwa asilimia ngapi?
Kuna ambao wanasema hakuna mgombea ambaye atafikisha 50% ya kura zote.
Kweli kabisa mkuuWanasema, Wala usimpe Ibilisi nafasi,
mkuu, Kwa maneno yako hayo huna kabisa tumaini, hata moyoni mwako unajua kanisa CCM hasa Kwa kipindi hiki cha huyu jamaa, mmepata Sana kura Temu hii, ni robo ya alichopataga Yule wa mabadiliko,2015
Hajui masikini [emoji23][emoji1787]Yule ni rais ujue? Siyo Lisu yule