PICHA: Mwenyekiti wa CCM, Rais Samia aongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu Ikulu Dar es Salaam

PICHA: Mwenyekiti wa CCM, Rais Samia aongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu Ikulu Dar es Salaam

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, ameongoza Kikao Maalum cha kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa leo tarehe 01 April 2023 Ikulu Jijini Dar es salaam.​

C1.jpg
C3.jpg

 
Mama naye anajipinduapindua sana,mkutano mkuu wa CCM uliopita aliomba ridhaa ya chama kuipanga upya Serikali na CCM ikampa ridhaa hiyo lakini hatujaona lolote anaishia kulalamikia wapigaji kama tunavyolalamika sisi,kama vipi aachie ngazi vikao kila siku bila vitendo ni kutufanya wananchi hatuna akili. Vyombo vyake vimemsaidia kuainisha kila panapovuja sasa anataka nini tena?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mama naye anajipinduapindua sana,mkutano mkuu wa CCM uliopita aliomba ridhaa ya chama kuipanga upya Serikali na CCM ikampa ridhaa hiyo lakini hatujaona lolote anaishia kulalamikia wapigaji kama tunavyolalamika sisi,kama vipi aachie ngazi vikao kila siku bila vitendo ni kutufanya wananchi hatuna akili. Vyombo vyake vimemsaidia kuainisha kila panapovuja sasa anataka nini tena?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Ngoja tuone habari za leo
 
Mama naye anajipinduapindua sana,mkutano mkuu wa CCM uliopita aliomba ridhaa ya chama kuipanga upya Serikali na CCM ikampa ridhaa hiyo lakini hatujaona lolote anaishia kulalamikia wapigaji kama tunavyolalamika sisi,kama vipi aachie ngazi vikao kila siku bila vitendo ni kutufanya wananchi hatuna akili. Vyombo vyake vimemsaidia kuainisha kila panapovuja sasa anataka nini tena?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Mama asafishe kambi yake sisi Chadema hatutaKi aishie kulalamika tu.

Tena aanze na Mwanae.
 
Katiba mpya ni muhimu ,why kikao cha ccm kifanyike state House na sio Lumumba street?,my President hii sio na ni kosa, kodi yangu haiwezi kutumika kwenye political parties, pls hamishia kikao Lumumba street (kwenye centre of power)
 
tunawatakia kikao chwnye mafanikio.

Tunamuombea Rais wetu Mungu aiendelee kumpa busara na hekima ili aweze kuwabaini wasaidizi/watendaji wasio waadilifu, wenye nia ya upigaji, na kwa mamlaka aliyo nayo awaondoe haraka kabla ya kuleta madhara.

Tunamuombea Mungu apate wasaidizi waadilifu, waaminifu, watiifu na wazalendo kwa Nchi na wananchi
 
Back
Top Bottom