PICHA: Mwenyekiti wa CCM, Rais Samia aongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu Ikulu Dar es Salaam

PICHA: Mwenyekiti wa CCM, Rais Samia aongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu Ikulu Dar es Salaam

tunawatakia kikao chwnye mafanikio.

Tunamuombea Rais wetu Mungu aiendelee kumpa busara na hekima ili aweze kuwabaini wasaidizi/watendaji wasio waadilifu, wenye nia ya upigaji, na kwa mamlaka aliyo nayo awaondoe haraka kabla ya kuleta madhara.

Tunamuombea Mungu apate wasaidizi waadilifu, waaminifu, watiifu na wazalendo kwa Nchi na wananchi
🤣🤣🤣 Kula chuma hichooo 🤣
 

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, ameongoza Kikao Maalum cha kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa leo tarehe 01 April 2023 Ikulu Jijini Dar es salaam.​

View attachment 2573005View attachment 2573006

Amna kitu hapo kati ya wezi waliotajwa asalimia 80 wapo hapo unategemea nini
 
Katiba mpya ni muhimu ,why kikao cha ccm kifanyike state House na sio Lumumba street?,my President hii sio na ni kosa, kodi yangu haiwezi kutumika kwenye political parties, pls hamishia kikao Lumumba street (kwenye centre of power)
Acha wivu
 
Wamekaaa kwa umakini hapo kwerikweri

Ova
 
Kwa nini KM Chongolo katangulia kabla ya MM Kinana?

Kiprotokali haijakaa sawa
 
Vikao vya chana vifanyike katika ofisi za chama kwa gharama za chama,ikulu ni ofisi ya umma
 
Ukiwaona na mikaratasi utadhani wanajadili mambo ya maana kumbe kupoteza muda tu kuhalalisha ulaji wa posho.
 
Back
Top Bottom