Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
🤣🤣🤣 Kula chuma hichooo 🤣tunawatakia kikao chwnye mafanikio.
Tunamuombea Rais wetu Mungu aiendelee kumpa busara na hekima ili aweze kuwabaini wasaidizi/watendaji wasio waadilifu, wenye nia ya upigaji, na kwa mamlaka aliyo nayo awaondoe haraka kabla ya kuleta madhara.
Tunamuombea Mungu apate wasaidizi waadilifu, waaminifu, watiifu na wazalendo kwa Nchi na wananchi
Ikulu ni ya wote walio CCM na wasio CCMNadhani wewe ndio una UWENDAWAZIMU, KWA KUDHANI UNAWEZA KUTENGANISHA SERIKALI NA CHAMA TAWALA
Amna kitu hapo kati ya wezi waliotajwa asalimia 80 wapo hapo unategemea niniMwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, ameongoza Kikao Maalum cha kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa leo tarehe 01 April 2023 Ikulu Jijini Dar es salaam.
View attachment 2573005View attachment 2573006
Acha wivuKatiba mpya ni muhimu ,why kikao cha ccm kifanyike state House na sio Lumumba street?,my President hii sio na ni kosa, kodi yangu haiwezi kutumika kwenye political parties, pls hamishia kikao Lumumba street (kwenye centre of power)