Emil Mwangwa
Senior Member
- May 9, 2011
- 124
- 24
Walinzi wawili wa Kiwanda cha Afroplus Mwenge walitekwa na Wafuasi wa Mwingira Efatha mwenge na kufanyiwa Unyama mkubwa pamoja na kungwa kamba na kukatwa mdomo na Jambia angalia picha hizi!!!
Ni bora jamii ikaelezwa Ukweli juu ya unyama huu ili watu wawajibike kuondoa kinyongo kwa wahusika.
PIA Mwaandishi wa habari Bwa Abdukarim Msengakamba (0774 321366) alipigwa na Waumini wa Efatha Juma tatu ya Pasaka na ameteguka na kwa sasa anashindwa kutembea!!
Ni bora jamii ikaelezwa Ukweli juu ya unyama huu ili watu wawajibike kuondoa kinyongo kwa wahusika.
PIA Mwaandishi wa habari Bwa Abdukarim Msengakamba (0774 321366) alipigwa na Waumini wa Efatha Juma tatu ya Pasaka na ameteguka na kwa sasa anashindwa kutembea!!