Machame Juu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,514
- 3,363
Mkuu yani bado hujalala tu? Kuwa na subira natupiako mda siyo mrefu mapicha na videoAnzisha uzi ukiwa umetulia acha wenge
Una uhakika?Mbona haujajikamilisha?Baada ya mwanajamvi kuendelea na kisa chake cha kusisimua nimeingia youtube na kupiga screen shots na video mbili na kushare na nyinyi. Napiga picha mazingira magumu mtu wetu alivyopitia hapo Kitchanga
Tayari mkuuUna uhakika?Mbona haujajikamilisha?
Sasa,hapo wamekomboa au wameiba?Ni kwao?Tayari mkuu
Sasa nitalala vipi asubuhi hii saa 3 ndio kwanza naenda breakfast.Mkuu yani bado hujalala tu? Kuwa na subira natupiako mda siyo mrefu mapicha na video
Inaonekana wanekomboa kwasababu wanadai wakazi wa hapo elfu 60 walikuwa wanapata shida sana chini ya majeshi ya serikali na washirika.Sasa,hapo wamekomboa au wameiba?Ni kwao?
Wapi huko mkuu? Sydney nini?Sasa nitalala vipi asubuhi hii saa 3 ndio kwanza naenda breakfast.
Inaonekana?Hao ni vibaka tu.They have captured!Wamekamata/shika.Siyo kwao.Wezi tu.Inaonekana wanekomboa kwasababu wanadai wakazi wa hapo elfu 60 walikuwa wanapata shida sana chini ya majeshi ya serikali na washirika.
Aah humuhumu mkuu kwenye utafutaji.Wapi huko mkuu? Sydney nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naendelea kutafiti ni jengo lipi mwamba Justine Marack alikula ugali na ngozi ya ng'ombe.
Propaganda ya magharibi kupendelea rwanda utasikia 'M23 has captured the city of kitchanga..' sasa hiyo ni city au mji mdogo tu.Baada ya mwanajamvi Justine Marack kuendelea na kisa chake cha kusisimua nimeingia youtube na kupiga screen shots na video mbili na kushare na nyinyi. Napiga picha mazingira magumu mtu wetu alivyopitia hapo Kitchanga.
View attachment 2499759View attachment 2499760
Video