MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Mara nyingi nimewaona watu humu wakijiliwaza kwamba sababu za Kenya kuwashinda kimiundo mbinu ni kwamba mzungu aliwacha kama ameitengeneza. Sasa hizi hapa picha za jinsi mkoloni aliiacha, wenyewe tumeijenga Kenya bati kwa bati, tofali kwa tofali, mbao kwa mbao
Hii hapa barabara ya Mombasa-Nairobi miaka ile
Picha ya ilivyo sasa
Nairobi ya kitambo
Nairobi ya leo
Moi Avenue ya wakati wa mzungu
Moi Avenue ya leo
Kenyatta avenue, wakati ikiitwa Delamere avenue
Kenyatta avenue ya leo
Hii hapa barabara ya Mombasa-Nairobi miaka ile
Picha ya ilivyo sasa
Nairobi ya kitambo
Nairobi ya leo
Moi Avenue ya wakati wa mzungu
Moi Avenue ya leo
Kenyatta avenue, wakati ikiitwa Delamere avenue
Kenyatta avenue ya leo