Hawana walichoongeza haowakenya bn sijui wanaonaga watu maboya sn ?!!!
wataendelea kuwa mabeki 3 wa wazungu na kujifariji ni mali zao wakija kusepa watabaki kama zimbabweHawana walichoongeza hao
Kwani kuna mzungu aliondoka Kenya au utawala ulibadilishwa na kuweka kibaraka wao mweusi kutawa badala yaoacha kudanganya raia ...mzungu wakati anaiacha nairobi ilikuwa hvyo kweli !???
nilisahau mkuuKwani kuna mzungu aliondoka Kenya au utawala ulibadilishwa na kuweka kibaraka wao mweusi kutawa badala yao
Kama mashamba yenye rutuba bado yanamilikiwa na wazungu sasa unazungumzia mzungu yupi aliyeondoka
Wahatasepa lazima wawatale mpaka vichwa viwakae sawa soma ngugi wathiong'o "This time tomorrow" utawaonea huruma wajinga wakenyawataendelea kuwa mabeki 3 wa wazungu na kujifariji ni mali zao wakija kusepa watabaki kama zimbabwe
Labda kaenda google hebu tumpe muda!Katoka ndukiiii.Nchi pekee ambayo wananchi wake wanaongozwa na maraisi wawili mmoja akiwa raisi hewa.Asee 254 kuna nyumbu jamani duh!Yaani hadi leo hawajagundua kuwa raila kawaingiza cha kike.
hao jamaa kwa comedy wapo vizuri huyo jamaa aliyemuapisha raila naskia nchi yake ya Canada wamemuhitaji nyumbani kwahiyo serikali ya kenya ikaamua kumuwahisha kwaoKatoka ndukiiii.Nchi pekee ambayo wananchi wake wanaongozwa na maraisi wawili mmoja akiwa raisi hewa.Asee 254 kuna nyumbu jamani duh!Yaani hadi leo hawajagundua kuwa raila kawaingiza cha kike.