Elections 2010 PICHA: NCCR - Mageuzi katika kampeni

Elections 2010 PICHA: NCCR - Mageuzi katika kampeni

Kibunango

Platinum Member
Joined
Aug 29, 2006
Posts
8,468
Reaction score
2,349
nccr%20mageuzi%20zenj.JPG
 
Kibunango,
Hapa komba wapya msitu ule ule...teh teh teh...!!!
Kunamtu aliniacha hoi anasema yeye haendi kwenye mdahalo wa kuomba kura mpaka apewe posho...siasa zetu bana!!
 
Dah, masikini! Hivi watanzania mbona hawashiriki kwenye kampeni za vyama kama hivi? Kweli wagombea hawauziki?
 
Junius:
Huyu hapa chini, ndie mgombea uprez zenj kwa tiketi ya NCCR... Ni mshikaji wake mkubwa wa yule mgombea uprez kwa tiketi ya TADEA(hiki chama sijui kama kipo tena kule Bara)
prez%20Nccr%20mageuzi.JPG
 

Kibunango,

You are very funny !

Have a nice day !
 
Mkuu Kibunango,

Shukrani sana. Ni information MUHIMU ambayo tulikuwa tunaikosa tumepumbazwa na siasa za CCM, CUF na CHADEMA... Hivi vyama vingine hatujavitendea haki kutoleta picha za mikutano yao, tatizo inaonyesha hali si nzuri hata kidogo kwa upande wao!
 
Kibs wewe ni kiboko! Lol naona jamaa kwa raha zao kwenye viti! Hebu fikiria nyoni ya CCM hata kama wanasombwa na magari na posho juu!
 
Yaas,hao washkaji waliohudhuria hapo ndio wanaharakati wa kweli,inaelekea hawakosi kwenye kampeni ya chama chochote kile,

Bravo watuuu!!
 
Dah, masikini! Hivi watanzania mbona hawashiriki kwenye kampeni za vyama kama hivi? Kweli wagombea hawauziki?

Mzee ulipotelea wapi? Ningekuwa nimeokoka ningekemea chama hiki kisambaratike kabisa na pasije ikatokea duniani kote pakawepo tena chama kinachofana na hiki; ningekuwa msajili wa vyama duniani, ningetafuta sababu yoyote ile hadi nikakifuta dunia nzima! Aheri hata UDP-CCM ya Cheyo
 
Mzee ulipotelea wapi? Ningekuwa nimeokoka ningekemea chama hiki kisambaratike kabisa na pasije ikatokea duniani kote pakawepo tena chama kinachofana na hiki; ningekuwa msajili wa vyama duniani, ningetafuta sababu yoyote ile hadi nikakifuta dunia nzima! Aheri hata UDP-CCM ya Cheyo
Vibaraka wa sisiem tu hao, hawana lolote. Ruzuku wanapata wapi ikiwa wana idada finyu sana ya viti mjengoni. :confused2:
 
Mkuu Kibunango,

Shukrani sana. Ni information MUHIMU ambayo tulikuwa tunaikosa tumepumbazwa na siasa za CCM, CUF na CHADEMA... Hivi vyama vingine hatujavitendea haki kutoleta picha za mikutano yao, tatizo inaonyesha hali si nzuri hata kidogo kwa upande wao!
Hata Marekani kuna vyama zaidi ya Republican na Democratic. Lakini hivyo vingine ni no-hopers. Nobody pays attention to them. Vivyo hivyo hapa.
 
Wanasikiliza sera,,kisha wanakunywa Dizel kushuhia,, si mmemuona jamaa yupo na dumu la dizel hapo?
Safi sana hao ndio WAFIA CHAMA
 
Vibaraka wa sisiem tu hao, hawana lolote. Ruzuku wanapata wapi ikiwa wana idada finyu sana ya viti mjengoni. :confused2:

Unajua JK siku moja ameongea point ikanikuna sana; "achaneni na vyama vya msimu". Adui mkubwa sana wa binadamu dunia nzima ni VYAMA PINZANI FEKI. Uwepo wake unakuwaga na madhara makubwa mara mbili au tatu kuliko kama visingekuwepo
 
Back
Top Bottom