Picha: Ni Ujumbe Gani Unaupata Kwa Picha Hii?

Picha: Ni Ujumbe Gani Unaupata Kwa Picha Hii?

Superman

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2007
Posts
5,693
Reaction score
1,702
Picha kwa hisani ya: Burudan Mwanzo - Mwisho (Seems wameibandua sasa)

1.JPG


Andika kwa maneno yako mwenyewe ni ujumbe gani unaupata kutoka katika picha hii?
 
Huyu lazima anarusha za kichina china. Huuu haaaa tiiff. inavyoelekea ni mlemavu, alikuwa anarusha maneno ya kashfa kwa mgombea fulani au wakati mwenge unapita. wazee wa Ukonga walipomkabili akawaonyesha kuwa naye yumo.
 
2.JPG

CCM wameshindwa kutoa nafasi kwa wananchi kuwahoji ahadi zilizotolewa 2005 na nguvu za ziada inabidi zitumike kuwazima kama ktk picha:
Juma Ramadhani (chini ya ulinzi) ambaye ni mkazi wa Nane Nane , Manispaa ya Morogoro , ambaye ni mlemavu wa viungo akizolewa msobe msobe na askari wa kikosi cha kutuliza ghasia ( FFU) ambao wakisaidiana na Green Guard wa CCM . Sekeseke hilo lilianza mara baada ya Juma kudaiwa kutaka kumwona Mgombea Urais kwa Chama chama CCM,Mh Jakaya Kikwete kwa nguvu bila kufuata utaratibu , wakati huo Mh Jakaya alikuwa akihutubia mkutano wa hadhara wa kampeni , kwenye uwanja wa Jamhuri wa Mjini humo mwishoni mwa wiki.Picha kwa hisani ya Burudan Mwanzo - Mwisho.
 
Huyu lazima anarusha za kichina china. Huuu haaaa tiiff. inavyoelekea ni mlemavu, alikuwa anarusha maneno ya kashfa kwa mgombea fulani au wakati mwenge unapita. wazee wa Ukonga walipomkabili akawaonyesha kuwa naye yumo.

Ni ujumbe huo tu?
 
2.JPG

CCM wameshindwa kutoa nafasi kwa wananchi kuwahoji ahadi zilizotolewa 2005 na nguvu za ziada inabidi zitumike kuwazima kama ktk picha:
Juma Ramadhani (chini ya ulinzi) ambaye ni mkazi wa Nane Nane , Manispaa ya Morogoro , ambaye ni mlemavu wa viungo akizolewa msobe msobe na askari wa kikosi cha kutuliza ghasia ( FFU) ambao wakisaidiana na Green Guard wa CCM . Sekeseke hilo lilianza mara baada ya Juma kudaiwa kutaka kumwona Mgombea Urais kwa Chama chama CCM,Mh Jakaya Kikwete kwa nguvu bila kufuata utaratibu , wakati huo Mh Jakaya alikuwa akihutubia mkutano wa hadhara wa kampeni , kwenye uwanja wa Jamhuri wa Mjini humo mwishoni mwa wiki.Picha kwa hisani ya Burudan Mwanzo - Mwisho.


Kusingekuwa na maneno hayo katika picha: Nini nini kingekujia haraka akilini?
 
Bila maelezo..nadhani utasema ni unyanyasaji wa hali ya juu wa raia tena mlemavu..lakini maelezo ya picha yatafanya watu wasitoe mawazo kwa uhuru coz watakuwa wameshajua nini chanzo cha kubebwa hivyo...

pamoja na yote,nadhani utaratibu ukifuatwa haya hayatokei na hasa unapotaka kumwona kiongozi wa nchi.
 
Bila maelezo..nadhani utasema ni unyanyasaji wa hali ya juu wa raia tena mlemavu..lakini maelezo ya picha yatafanya watu wasitoe mawazo kwa uhuru coz watakuwa wameshajua nini chanzo cha kubebwa hivyo...

pamoja na yote,nadhani utaratibu ukifuatwa haya hayatokei na hasa unapotaka kumwona kiongozi wa nchi.

Unasemaje juu ya utumiaji wa nguvu nyingi kuliko zinazohitajika?
 
Unasemaje juu ya utumiaji wa nguvu nyingi kuliko zinazohitajika?

Askari polisi wametumwa kumlinda mgombea wa chama tawala kwa kila hali na ikiwezekana hata kutotumia akili kidogo walizonazo. Hawajui haki za binadamu hawajui elimu ya uraia.

Hivyo watu kama hawa wanaowaburuza walemavu, wanaweza kuwa na akili ya kuamini kuwa CCM imeshindwa kura? Ina maana wako tayari kutekeleza amri yoyote itakayotoka kwa bosi wao.

So sad, Tungoje Oktoba 31.
 
Do we have Human Rights Activists here??..:confused2:
 
Askari polisi wametumwa kumlinda mgombea wa chama tawala kwa kila hali na ikiwezekana hata kutotumia akili kidogo walizonazo. Hawajui haki za binadamu hawajui elimu ya uraia.

Hivyo watu kama hawa wanaowaburuza walemavu, wanaweza kuwa na akili ya kuamini kuwa CCM imeshindwa kura? Ina maana wako tayari kutekeleza amri yoyote itakayotoka kwa bosi wao.

So sad, Tungoje Oktoba 31.

Nijuavyo mimi, Polisi kwa kawaida huwa hawatumii akili kabisaaaaaaaaaaa
 
Do we have Human Rights Activists here??..:confused2:

UMOJA WA MATAIFA WAJADILI HAKI ZA WATU WENYE ULEMAVU
KATIBU MKUU, BW. MSHAM ABDALLA KHAMIS, KATIBU MKUU AFISI YA WAZIRI KIONGOZI SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR AKIONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA UMOJA WA MATAIFA WA MAKUBALIANO KUHUSU HAKI ZA WATU WENYE ULEMAVU. NYUMA YAKE NI BI. ABEIDA RASHIDI ABDALLA, MKURUGENZI WA IDARA YA WALEMAVU AFISI YA WAZIRI KIONGZI AMBAYE NI MLEMAVU WA MIGUU AKIFUTATILI MAJADILIANO

Hisani ya: Michuzi

Askofu, bwana asifiwe, hao unaowaulizia kama wapo wanajadili haki za watu wenye ulemavu wakati walengwa wanachangiwa na mapolisi. Tatizo la Tanzania ni hilo tutataua matatizo mezani, field hatuendi kabisa. Na hakuna kiongozi atakayelaani hili tukio si raisi, ofisi yake , wizara inayoshughulikia wenye ulemavu, jeshi la polisi na hata wanaharakati.

Waombee ili wajue kuwa watendalo ni dhambi.
 
Bila maelezo..nadhani utasema ni unyanyasaji wa hali ya juu wa raia tena mlemavu..lakini maelezo ya picha yatafanya watu wasitoe mawazo kwa uhuru coz watakuwa wameshajua nini chanzo cha kubebwa hivyo...

pamoja na yote,nadhani utaratibu ukifuatwa haya hayatokei na hasa unapotaka kumwona kiongozi wa nchi.

Mkuu hayo maneno kwenye avatar yako.......duh!
 
Du wanatumia nini mkuu kama hawatumii akili?

Wanatumia misuli

Askofu, bwana asifiwe, hao unaowaulizia kama wapo wanajadili haki za watu wenye ulemavu wakati walengwa wanachangiwa na mapolisi. Tatizo la Tanzania ni hilo tutataua matatizo mezani, field hatuendi kabisa. Na hakuna kiongozi atakayelaani hili tukio si raisi, ofisi yake , wizara inayoshughulikia wenye ulemavu, jeshi la polisi na hata wanaharakati.

Waombee ili wajue kuwa watendalo ni dhambi.

Bwana asifiwe Mpendwa... Nitazidi kuwaombea...

Ndio maana wana amri kuwa unaekeleza kwanza halafu unauliza baadaye, which is quite weird.

Really weird... Ukizingatia mtu ni mlemavu, hana silaha, hawezi kukimbia... kwa nini lakini???????
 
Hicho ni kipimo halisi cha uelewa na fikra finyu!
 
lakini ulemavu wao usiwe kigezo cha kutaka kupata kila kitu kwa namna wanayotaka wao
 
Ndugu zangu jamaa na marafiki zangu, si ndio hawa jamaa wameweka mabango makubwa yanayoonyesha jk akisikiliza makundi mbalimbali ya kijamii wakiwemo walemavu, au wale walikua wajomba zake wananchi na walemavu kama hawa walie tuu?kesho kwa Mungu kuna kazi
 
Back
Top Bottom