KIDUNDULIMA
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 966
- 540
![]()
CCM wameshindwa kutoa nafasi kwa wananchi kuwahoji ahadi zilizotolewa 2005 na nguvu za ziada inabidi zitumike kuwazima kama ktk picha:
Juma Ramadhani (chini ya ulinzi) ambaye ni mkazi wa Nane Nane , Manispaa ya Morogoro , ambaye ni mlemavu wa viungo akizolewa msobe msobe na askari wa kikosi cha kutuliza ghasia ( FFU) ambao wakisaidiana na Green Guard wa CCM . Sekeseke hilo lilianza mara baada ya Juma kudaiwa kutaka kumwona Mgombea Urais kwa Chama chama CCM,Mh Jakaya Kikwete kwa nguvu bila kufuata utaratibu , wakati huo Mh Jakaya alikuwa akihutubia mkutano wa hadhara wa kampeni , kwenye uwanja wa Jamhuri wa Mjini humo mwishoni mwa wiki.Picha kwa hisani ya Burudan Mwanzo - Mwisho.
Picha inaonyesha kuwa Kikwete na serikali yake ni kipenzi cha wenye ulemavu