BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Umasikini ndio mtaji namba moja usio teteleka wa CCM na kwa bahati mbaya sana wameongeza mataji wa pili ambao ni Yanga na Simba.
Ni wakati wa msikini kutumiwa kama kondomu na kupewa sh 2000/ hawa CCM hawako tiyali kuona wanaachana na umasikini.
Ni wakati wa msikini kutumiwa kama kondomu na kupewa sh 2000/ hawa CCM hawako tiyali kuona wanaachana na umasikini.