Mamndenyi naendelea vizuri kama nilivyyoelezea hapo juu kwenye update yangu! nawashukuru sana kwa ushauri wenu kwani nyinyi mlinitia nguvu mno!
Naongeza idadi taratibu kulingana na nguvu ya mtaji! waweza fungua picha ukaona jinsi walivyo kwa sasa!
GOD BLESS!