Habari wanajamvi!
kupitia jukwaa hili nimeamua kuanza kufuga kuku wa mayai na kwa kuanzia nimeanza na vifaranga 250 naomba nipeni ushauri jinsi nilivyoanza kuwalisha hao vifaranga kama picha inavyoonkana. Asanteni.
UPDATES.
Nawashukuru sana kwa wale wote walionipa ushaurii na kunitia moyo! sasa ni mwezi wa pili na maendeleo ni mazuri sana kwani kati ya vifaranga 250 vimekufa 4! so far! kwa kuwa nimetambua mambo mengi ambayo kwa ukweli bila kujaribu huwezi kuyajua nimeamua kuongeza idadi kamaya mwanzo ili nizidi kujikongoja!View attachment ki.doc
PICHAView attachment p1.doc
kupitia jukwaa hili nimeamua kuanza kufuga kuku wa mayai na kwa kuanzia nimeanza na vifaranga 250 naomba nipeni ushauri jinsi nilivyoanza kuwalisha hao vifaranga kama picha inavyoonkana. Asanteni.
UPDATES.
Nawashukuru sana kwa wale wote walionipa ushaurii na kunitia moyo! sasa ni mwezi wa pili na maendeleo ni mazuri sana kwani kati ya vifaranga 250 vimekufa 4! so far! kwa kuwa nimetambua mambo mengi ambayo kwa ukweli bila kujaribu huwezi kuyajua nimeamua kuongeza idadi kamaya mwanzo ili nizidi kujikongoja!View attachment ki.doc
PICHAView attachment p1.doc