Picha: Nimesikitika sana kuona Naibu Waziri anaenda kuzindua na kupongeza daraja kama hili. Hili daraja limegharimu kiasi gani?

Hiyo ndio CCM tuijuayo, sijui mwenzetu umetoka lini Tanzania hii?
 
Hii nchi ina utani sana, hapa atakuja mbunge au hata huyu kilaza naibu waziri na kuwadanganya wananchi kuwa Mama anaupiga mwingi na katoa haya matrillioni kujenga hili drama la baiskeli
 
Hilo ni daraja???
 
 

Attachments

  • IMG-20250106-WA0035.jpg
    119 KB · Views: 1
  • IMG-20250221-WA0055.jpg
    77.5 KB · Views: 1
Acha kuokoteza takataka zako huko mtandaoni
 
Hata hawaenei kwenye hicho kidaraja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…