Picha nyingi za utoto zimebeba Siri kubwa za Kiroho

Picha nyingi za utoto zimebeba Siri kubwa za Kiroho

coicedence tu hiyo Amna ukweli wowote

Hebu tuwaze hivi Kama mtoto alipiga picha katika matukio tofauti tofauti mafano picha ya Kwanza kashika biblia/Quran anakua Kama anasema wenzake wanamsikiliza



Picha ya pili iwe Kama hiyo uliyotuwekea



Picha ya tatu awe ameshika Yale Kama matunguli ya mganga anafanya manyanga



Sasa kwa picha na mtililiko wa matukio Kama huu nimekuonyesha ni katika mfumo gani wa maisha na kazi zake zitakua?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa ufupi tu tazama sana picha zako za udogoni mapozi Na the way ulivyokuwa una behave alafu oanisha Na maisha yako ya sasa utagundua vitu vingi,

Yale maisha/Michezo uliyokuwa Unaishi udogoni bila kujua yalikuwa ni kama maono/utabili wa mambo/mafanikio yako ya mbeleni

Ni ngumu kufahamu Kwa sababu mambo mengi ya kiroho yamefichwa Rohoni Kwa Siri kubwa,uwezo wa kuyafahamu ni mpaka yakutokee au uwe na nguvu Kutoka Rohoni
View attachment 1039969
[emoji115][emoji115][emoji115]
Hii ni picha ya diamond plutnumz Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwenye page yake ilikuwa ni ya mwaka 1989,

Ukiitazama sana picha hii utagundua kitu kimoja pozy,style Na the way alivyobehave inaonyesha mengi Na kama imetabili maisha/mafanikio yake ya sasa ukiendelea kuitizama utagundua mengi zaidi tofauti na hayo.

Cc_Zero IQ
Mkuu hebu kuwa mkweli huyu ni diamond kweli au uongo,mbona picha hii yupo kawaida sasa lile domo limeota ukubwani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi vitu vinakuwa damuni,sema wengine tunashindwa kuvistawisha.

Wazungu katika hili wameweza,mfano mark zucke wa facebook,akiwa na miaka 11 tayari aliishakuwa na uelewa mpana tu wa kompyuta mpaka kufikia kutengeneza mtandao wa kuchart wa familia yake.leo hii anaishi kwenye fani aliyoipenda.

Wewe unakua kufuata upepo unafikisha miaka 25 baada ya kukosa ajira unaona wacha uanze kufuga kuku,wakifa kuku 200 tu,una mind unaamua ulime nyanya zikikosa soko,unahamia kwenye kutengeneza masofa.huna spirit kila dhoruba itakuvuruga na kukuyumbisha sana.
Mbn kama unanichana Mimi mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa ufupi tu tazama sana picha zako za udogoni mapozi Na the way ulivyokuwa una behave alafu oanisha Na maisha yako ya sasa utagundua vitu vingi,

Yale maisha/Michezo uliyokuwa Unaishi udogoni bila kujua yalikuwa ni kama maono/utabili wa mambo/mafanikio yako ya mbeleni

Ni ngumu kufahamu Kwa sababu mambo mengi ya kiroho yamefichwa Rohoni Kwa Siri kubwa,uwezo wa kuyafahamu ni mpaka yakutokee au uwe na nguvu Kutoka Rohoni
View attachment 1039969
[emoji115][emoji115][emoji115]
Hii ni picha ya diamond plutnumz Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwenye page yake ilikuwa ni ya mwaka 1989,

Ukiitazama sana picha hii utagundua kitu kimoja pozy,style Na the way alivyobehave inaonyesha mengi Na kama imetabili maisha/mafanikio yake ya sasa ukiendelea kuitizama utagundua mengi zaidi tofauti na hayo.

Cc_Zero IQ
Miaka hiyo hiyo redio ilikuwa ni utajiri mkubwa wenyewe wakiita kitofa
 
nmejifunza pia alitoka kwenye familia bora. kumiliki radio hizo miaka hyo mzee wako lazima awe anajiweza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dingi yangu alikua nayo nakumbuka alikua anakaa wiki moja kila nyumba maana alikua na wake wawili basi akimaliza wiki anaibeba kwenda mtaa Wa pili kwa ma mdogo basi tunabaki na uzuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msuva alipenda Mziki tangu utotoni. Akaenda THT. Leo yupo kwa waarabu anasakata soka!

Bob alicheza soka utotoni. Ukubwani akawa mvuta bangi muimba Reggae.

Mwana Fa shuleni alikuwa PCM na pia mwana basketball.

Masoud Kipanya alikuwa mchezaji tangu utotoni.

Mimi nlikuwa mchunga utotoni na kwa sasa Raisi
 
muongo wewe, diamond kazaliwa mwaka 89, akawezaje kukua na kurefuka akasimama na redio akapata picha hiyo na alikuwa bado mchanga!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
.
IMG_20190307_160946.jpeg


Usile Mbegu.
 
Msuva alipenda Mziki tangu utotoni. Akaenda THT. Leo yupo kwa waarabu anasakata soka!

Bob alicheza soka utotoni. Ukubwani akawa mvuta bangi muimba Reggae.

Mwana Fa shuleni alikuwa PCM na pia mwana basketball.

Masoud Kipanya alikuwa mchezaji tangu utotoni.

Mimi nlikuwa mchunga utotoni na kwa sasa Raisi
Kwa sasa raisi unachunga watu

Cc_Zero IQ
 
Nilipiga kwenye land lover TDI hadi leo sijamiliki hata baskeli...
 
Back
Top Bottom