Mkuu hebu kuwa mkweli huyu ni diamond kweli au uongo,mbona picha hii yupo kawaida sasa lile domo limeota ukubwani?Kwa ufupi tu tazama sana picha zako za udogoni mapozi Na the way ulivyokuwa una behave alafu oanisha Na maisha yako ya sasa utagundua vitu vingi,
Yale maisha/Michezo uliyokuwa Unaishi udogoni bila kujua yalikuwa ni kama maono/utabili wa mambo/mafanikio yako ya mbeleni
Ni ngumu kufahamu Kwa sababu mambo mengi ya kiroho yamefichwa Rohoni Kwa Siri kubwa,uwezo wa kuyafahamu ni mpaka yakutokee au uwe na nguvu Kutoka Rohoni
View attachment 1039969
[emoji115][emoji115][emoji115]
Hii ni picha ya diamond plutnumz Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwenye page yake ilikuwa ni ya mwaka 1989,
Ukiitazama sana picha hii utagundua kitu kimoja pozy,style Na the way alivyobehave inaonyesha mengi Na kama imetabili maisha/mafanikio yake ya sasa ukiendelea kuitizama utagundua mengi zaidi tofauti na hayo.
Cc_Zero IQ
Mbn kama unanichana Mimi mkuuHivi vitu vinakuwa damuni,sema wengine tunashindwa kuvistawisha.
Wazungu katika hili wameweza,mfano mark zucke wa facebook,akiwa na miaka 11 tayari aliishakuwa na uelewa mpana tu wa kompyuta mpaka kufikia kutengeneza mtandao wa kuchart wa familia yake.leo hii anaishi kwenye fani aliyoipenda.
Wewe unakua kufuata upepo unafikisha miaka 25 baada ya kukosa ajira unaona wacha uanze kufuga kuku,wakifa kuku 200 tu,una mind unaamua ulime nyanya zikikosa soko,unahamia kwenye kutengeneza masofa.huna spirit kila dhoruba itakuvuruga na kukuyumbisha sana.
Wanajadili Logical Fallacy uliyoionesha from the start.. Na ina mchango kubaini ulichokiandika sio cha kuaminika.Binadamu bwana wanajadili mwaka badala ya kujadili content ya Uzi
Cc_Zero IQ
Miaka hiyo hiyo redio ilikuwa ni utajiri mkubwa wenyewe wakiita kitofaKwa ufupi tu tazama sana picha zako za udogoni mapozi Na the way ulivyokuwa una behave alafu oanisha Na maisha yako ya sasa utagundua vitu vingi,
Yale maisha/Michezo uliyokuwa Unaishi udogoni bila kujua yalikuwa ni kama maono/utabili wa mambo/mafanikio yako ya mbeleni
Ni ngumu kufahamu Kwa sababu mambo mengi ya kiroho yamefichwa Rohoni Kwa Siri kubwa,uwezo wa kuyafahamu ni mpaka yakutokee au uwe na nguvu Kutoka Rohoni
View attachment 1039969
[emoji115][emoji115][emoji115]
Hii ni picha ya diamond plutnumz Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwenye page yake ilikuwa ni ya mwaka 1989,
Ukiitazama sana picha hii utagundua kitu kimoja pozy,style Na the way alivyobehave inaonyesha mengi Na kama imetabili maisha/mafanikio yake ya sasa ukiendelea kuitizama utagundua mengi zaidi tofauti na hayo.
Cc_Zero IQ
Dingi yangu alikua nayo nakumbuka alikua anakaa wiki moja kila nyumba maana alikua na wake wawili basi akimaliza wiki anaibeba kwenda mtaa Wa pili kwa ma mdogo basi tunabaki na uzuninmejifunza pia alitoka kwenye familia bora. kumiliki radio hizo miaka hyo mzee wako lazima awe anajiweza.
Sent using Jamii Forums mobile app
.muongo wewe, diamond kazaliwa mwaka 89, akawezaje kukua na kurefuka akasimama na redio akapata picha hiyo na alikuwa bado mchanga!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa raisi unachunga watuMsuva alipenda Mziki tangu utotoni. Akaenda THT. Leo yupo kwa waarabu anasakata soka!
Bob alicheza soka utotoni. Ukubwani akawa mvuta bangi muimba Reggae.
Mwana Fa shuleni alikuwa PCM na pia mwana basketball.
Masoud Kipanya alikuwa mchezaji tangu utotoni.
Mimi nlikuwa mchunga utotoni na kwa sasa Raisi
kwaio unadhan yeye wa 84 hivi au sio?Toka nilipomjua nasib kabla hajajiita diamond nikiangalia age yangu na age yake nakataa kwa yeye kuzaliwa 89
Embu tabiri hawa madogo watakua akina nani?
View attachment 1040006
Kabisaaa huyu atakua ni mgonjwa.Tatizo humu ujuaji mwingiii with empty brainsEmbu wacha kutufanya mazombi sisi aisee sasa wengine tuna picha Kali zaidi ya hiyo na tunaishia ufundi kujenga,ww lazima utakuwa na mtindio wa ubongo.
Sent using Jamii Forums mobile app