Mkuu unatumia nguvu nyingi sana kuhoji kitu ambacho keshakisema kwenye hii picha yake ya Insta. "MIMI NI MSWAHILI NA USWAHILI WANGU UNANISAIDIA" Kifupi ni kuwa ANAISHI MAISHA YAKE KAMA WENGINE WANAVYOISHI MAISHA YAOHamsemi facts mnaishia kuropoka tu mnaendeshwa na hisia zaidi kuliko akili...kama wewe ni wa kiume na umesapoti ujinga alioufanya ukiacha kuji show off pasipo na sababu ya msingi, kama mwanaume sitakubal ujinga wa kutumia maneno kama "inahuu ama kutumia ishara za [emoji108] alikua anamanisha nini labda uniambie wewe
Haha punguza mhemko..mimi mtoto wa kiume nakubali mafanikio.yake tena sana ila sitakubali ujinga ujinga wa kudhalilisha wanaume mitandaoni nimekaa na mjeda hapa amechukia sana, mipasho na kutumia maneno.yenye walakini kama mwanaume mana yake ni nini??! Kama watu walikua hawaamini amenunua nyumba alikua hana haja ya kutumia nguvu nyingi sana hadi mipasho na show offs.. always mafanikio kama unayo unayo tu..!!Afu mtoto wa kiume kuchukia mafanikio ya mwanaume mwenzako huo ni..........
Jutaidi utafute vyako sio kazi kumkandia 2 kawaonesha kwamba Yale ndo matunda yake
Ujinga gani alioufanya mkuu ......??nakubali juhudi zake, ila kuna kaujinga kafanya hapo katika kauli, sihitaji kujibiwa ukinijibu tu basi we MUME wangu hahahaha.
Ahahaaaaaah...Mkuu unatumia nguvu nyingi sana kuhoji kitu ambacho keshakisema kwenye hii picha yake ya Insta. "MIMI NI MSWAHILI NA USWAHILI WANGU UNANISAIDIA" Kifupi ni kuwa ANAISHI MAISHA YAKE KAMA WENGINE WANAVYOISHI MAISHA YAO
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] mwambie mjeda nae apost ila ndo anawaonesha kwamba kanzu haifanani na delaHaha punguza mhemko..mimi mtoto wa kiume nakubali mafanikio.yake tena sana ila sitakubali ujinga ujinga wa kudhalilisha wanaume mitandaoni nimekaa na mjeda hapa amechukia sana, mipasho na kutumia maneno.yenye walakini kama mwanaume mana yake ni nini??! Kama watu walikua hawaamini amenunua nyumba alikua hana haja ya kutumia nguvu nyingi sana hadi mipasho na show offs.. always mafanikio kama unayo unayo tu..!!
Wapuuzi hawa madogo,HAKUNA MSANII HASIYEJITANGAZA MALI ZAKE,TOFAUTI IPO KWENYE NAMNA YA KUJITANGAZA.Ahahaaaaaah...
Ahsante kwa VIDEO fupi kaka samsun...
Haka kavideo nilikua sijabahatika kukatazama...
Kwa video hii,HATERS ni haki yao kutoa MAPOVU...
Jinsi anavyofungua hilo geti kwa mbwembwe...
Ni hatari..!
Wasije kumdhuru tu kijana wa watu..!!!
“Asa k*nya nak*nya mie makalio yanawauma wengine, eti inahuu..,”Ujinga gani alioufanya mkuu ......??
Hii kauli yako imefunga mjadala...always mafanikio kama unayo unayo tu..!!
Acha povu haitakusaidia kitu,HAYO NI MAISHA YAKE NA HAJAANZA LEO KUWA HIVO,TOKEA ANAANZA KUNUNUA GARI YAKE YA KWANZA ILE OPA DUNIA NZIMA ILIJUA NA HAKUACHA KUIONYESHA NA WATU WALIKUWA WANAPONDA MSANII UNAKUWA NA OPA ..... IWE SASA NDIO ATAKUELEWA......MIMI NAPENDA MUZIKI WAKE, NA HIZO SHOW OFF ZAKE NDIO HUWA NAFURAAAAAAHI NIKIKUTA WATU WANAVYOTOKA POVU,NA YEYE NDIO ANAPENDA MNAVYOJAA KWENYE PAGE ZAO KWA MAANA NDIO ZINAMUONGEZEA MADILI.“Asa k*nya nak*nya mie makalio yanawauma wengine, eti inahuu..,”
“Soon naamia ndani…halaf nlisahau, wakikwambia mie mswahili wambie Mswahili haswaaa[emoji108][emoji108]… halaf uswahili wangu najua kuutumia na umefanya leo niwe na kibanda south asa wao Uzungu wao Umewapa nini?"
""mnh ujirani huu hata siku Ukiwa na shida ya chumvi sjui unaingiaje kujichekesha upewe!…. [HASHTAG]#MyNewCribInSouthAfrica[/HASHTAG]""
Words of diamond...international artist ...kama mwanaume i will never support this kind of behaviour from my fellow man hata kama napenda mafanikio yako..
Na pia nimegundua kitu anasema kua eti ni rasharasha...sasa nimeona ya kua anafanya kuwaonyeshea maybe team pinzani kwa kauli yake ya juzi na wale waliopinga kua amenumua nyumba south africa.....kwaio mafanikio.yake yeye kwa sasa ni show off kwa upande wa pili na anafanya kila jitihada kujionesha, ndugu yang diamond kama kauli ya alikiba ndo imemfanya awe hivi nampa pole
Hahaha dunia nzima ilijua?? anyway Wala sina povu! Ni kweli ni maisha yake aendelee hivo hivo na hio mipasho ...Acha povu haitakusaidia kitu,HAYO NI MAISHA YAKE NA HAJAANZA LEO KUWA HIVO,TOKEA ANAANZA KUNUNUA GARI YAKE YA KWANZA ILE OPA DUNIA NZIMA ILIJUA NA HAKUACHA KUIONYESHA NA WATU WALIKUWA WANAPONDA MSANII UNAKUWA NA OPA ..... IWE SASA NDIO ATAKUELEWA......MIMI NAPENDA MUZIKI WAKE, NA HIZO SHOW OFF ZAKE NDIO HUWA NAFURAAAAAAHI NIKIKUTA WATU WANAVYOTOKA POVU,NA YEYE NDIO ANAPENDA MNAVYOJAA KWENYE PAGE ZAO KWA MAANA NDIO ZINAMUONGEZEA MADILI.
Inabidi mjiongeze na kujiuliza kwanini aachi,hizo mnazoziita show off .......??Hahaha dunia nzima ilijua?? anyway Wala sina povu! Ni kweli ni maisha yake aendelee hivo hivo na hio mipasho ...
Na wewe mbona umeonesha? Au jinsia yako nawe ni ya kutia shaka?! By the way, na wewe kama sio uboya kuwa nini... mwanaume una-discuss maisha ya mwanaume mwenzako?!Am me!! And who are you! ndo ukweli uliopo mmezidi uswahili,,mwanaume unaonesha alama hii kwenye comments zako [emoji108] ndio nini!!; halaf msaanii mkubwa unajiita, embu fanyeni kazi mlete tuzo nyumbani..
Show off ni Uswahili??? Basi P Diddy ni mswahili no mojaAfrika Kusini sasa imekuwa nyumbani kwingine kwa Diamond baada ya kununua nyumba ya kifahari iliyopo jijini Pretoria.
Baada ya kutangaza kununua nyumba hiyo iliyomgharimu zaidi ya shilingi milioni 400, maneno mengi yalisemwa yakiwemo ya wale waliohisi amepiga changa la macho. Na sasa muimbaji huyo amethibitisha kuwa mjengo huo ni mali yake baada ya kuwasili rasmi Jumanne hii.
Akiwa na timu yake ya WCB, Diamond ameikagua nyumba kwa mara ya kwanza na kuwasogeza karibu nayo mashabiki wake kwa video alizoweka Instagram.
“Meet my neighbors …mnh ujirani huu hata siku Ukiwa na shida ya chumvi sjui unaingiaje kujichekesha upewe!…. [HASHTAG]#MyNewCribInSouthAfrica[/HASHTAG],” ameandika kwenye video moja.
Kwenye nyingine ameandika, “Wow! If you don’t know yet today was my first time seeing my house physically since I bought it a month ago….and honestly I went crazy when I saw it coz I was so excited to… so proud of my baby @zarithebosslady for being a good leader in our love and life..”
Ya mwisho ilikuwa na ujumbe mkali zaidi uliowalenga wale waliodai si nyumba yake.
“Asa k*nya nak*nya mie makalio yanawauma wengine, eti inahuu..,” ameandika.
“Wambie wasininunie mie, wakazane….halaf hii clip naomba wanangu mnisaidie kuwatag wote waliokuwa busy kupost na kuzungumza Kuwa nyumba hii si yangu….waambie hizi ndio kwanza rasharasha clip hata kupost sijaanza bado..”
“Soon naamia ndani…halaf nlisahau, wakikwambia mie mswahili wambie Mswahili haswaaa… halaf uswahili wangu najua kuutumia na umefanya leo niwe na kibanda south asa wao Uzungu wao Umewapa nini?”
MY TAKE: blaza punguza uswahili ikiwezekana acha kabisa piga kazi uzidi kuleta tuzo, badala ukae utafakari kwanini tuzo za MTV MAMA zimekupita pembeni, umeona the only way ku make headline ni kuonyesha live uswahili wako na kufanya 'show off ' ambazo hazina maana yoyote, hivi ukinunua nyumba lazima ni lazima watu wajue hata kama hawaamini umenunua how comes inakusumbua wewe?
Wizkid na utajiri wake mkubwa sijawah kuona uswahili.wa kuonesha majumba aliyonunua pamoja na utajiri wake mkubwa, yeye show off zake ni za kazi, wala sijui show off za mwanamke wake wala sio yeye tu wapo wengi. Embu badilikeni bwana.
Na pia nampongeza Ali Kiba kwa kauli yake kua hata akipata nyumba hatafanya show off sababu haimsaidii.. ali kiba ukiwa na mentality hio utafika mbali sana.
Na pia vitu vingine watu tuliokaa South Africa tunapiga kimya tu, naomba anunue na nyingine Sandton.
haya bana ''the only rolls royce artist in east Africa'' katoa kauli za kikomavu.Acha povu haitakusaidia kitu,HAYO NI MAISHA YAKE NA HAJAANZA LEO KUWA HIVO,TOKEA ANAANZA KUNUNUA GARI YAKE YA KWANZA ILE OPA DUNIA NZIMA ILIJUA NA HAKUACHA KUIONYESHA NA WATU WALIKUWA WANAPONDA MSANII UNAKUWA NA OPA ..... IWE SASA NDIO ATAKUELEWA......MIMI NAPENDA MUZIKI WAKE, NA HIZO SHOW OFF ZAKE NDIO HUWA NAFURAAAAAAHI NIKIKUTA WATU WANAVYOTOKA POVU,NA YEYE NDIO ANAPENDA MNAVYOJAA KWENYE PAGE ZAO KWA MAANA NDIO ZINAMUONGEZEA MADILI.