Picha: Nyumba mpya ya Diamond ya South Africa

Picha: Nyumba mpya ya Diamond ya South Africa

huyu diamond hamfikii hata msanii juager wa kenya kwa pesa jamaa ana 3 jets na makampuni kibao huyu mondi ni mtafta kick tu wala si mpga kazi
JUAGER wa Kenya..!?
Kwahiyo ulitaka Diamond aishi kama JUAGER wa Kenya..!?
Sio..!?
 
Acheni afurahie maisha kwa namna anavyoona yeye.
Mbona kuna watu wakinunua sambusa na juice ya ukwaju wana post Instagram au wengine wakinunua nguo mpya wanapiganazo Picha na kuzi post kwenye mitandao
 
Afrika Kusini sasa imekuwa nyumbani kwingine kwa Diamond baada ya kununua nyumba ya kifahari iliyopo jijini Pretoria.

Baada ya kutangaza kununua nyumba hiyo iliyomgharimu zaidi ya shilingi milioni 400, maneno mengi yalisemwa yakiwemo ya wale waliohisi amepiga changa la macho. Na sasa muimbaji huyo amethibitisha kuwa mjengo huo ni mali yake baada ya kuwasili rasmi Jumanne hii.

Akiwa na timu yake ya WCB, Diamond ameikagua nyumba kwa mara ya kwanza na kuwasogeza karibu nayo mashabiki wake kwa video alizoweka Instagram.

“Meet my neighbors …mnh ujirani huu hata siku Ukiwa na shida ya chumvi sjui unaingiaje kujichekesha upewe!…. [HASHTAG]#MyNewCribInSouthAfrica[/HASHTAG],” ameandika kwenye video moja.

Kwenye nyingine ameandika, “Wow! If you don’t know yet today was my first time seeing my house physically since I bought it a month ago….and honestly I went crazy when I saw it coz I was so excited to… so proud of my baby @zarithebosslady for being a good leader in our love and life..”

Ya mwisho ilikuwa na ujumbe mkali zaidi uliowalenga wale waliodai si nyumba yake.
“Asa k*nya nak*nya mie makalio yanawauma wengine, eti inahuu..,” ameandika.

“Wambie wasininunie mie, wakazane….halaf hii clip naomba wanangu mnisaidie kuwatag wote waliokuwa busy kupost na kuzungumza Kuwa nyumba hii si yangu….waambie hizi ndio kwanza rasharasha clip hata kupost sijaanza bado..”

“Soon naamia ndani…halaf nlisahau, wakikwambia mie mswahili wambie Mswahili haswaaa… halaf uswahili wangu najua kuutumia na umefanya leo niwe na kibanda south asa wao Uzungu wao Umewapa nini?”

MY TAKE: blaza punguza uswahili ikiwezekana acha kabisa piga kazi uzidi kuleta tuzo, badala ukae utafakari kwanini tuzo za MTV MAMA zimekupita pembeni, umeona the only way ku make headline ni kuonyesha live uswahili wako na kufanya 'show off ' ambazo hazina maana yoyote, hivi ukinunua nyumba lazima ni lazima watu wajue hata kama hawaamini umenunua how comes inakusumbua wewe?

Wizkid na utajiri wake mkubwa sijawah kuona uswahili.wa kuonesha majumba aliyonunua pamoja na utajiri wake mkubwa, yeye show off zake ni za kazi, wala sijui show off za mwanamke wake wala sio yeye tu wapo wengi. Embu badilikeni bwana.

Na pia nampongeza Ali Kiba kwa kauli yake kua hata akipata nyumba hatafanya show off sababu haimsaidii.. ali kiba ukiwa na mentality hio utafika mbali sana.

Na pia vitu vingine watu tuliokaa South Africa tunapiga kimya tu, naomba anunue na nyingine Sandton.
nakubali juhudi zake, ila kuna kaujinga kafanya hapo katika kauli, sihitaji kujibiwa ukinijibu tu basi we mke wangu hahahaha.
 
Acheni afurahie maisha kwa namna anavyoona yeye.
Mbona kuna watu wakinunua sambusa na juice ya ukwaju wana post Instagram au wengine wakinunua nguo mpya wanapiganazo Picha na kuzi post kwenye mitandao
hahahhahahaha kweli kabisa, sema blazah katok shit ki awkward bana, ashafanikiwa sio kila kitu anatakiwa ajibu kivile itafikia wakati ataongea vibaya anaweza poteza endorsements wakuu
 
si walitangaza uzinduzi wao na hawana blah blah kama watandale na marehemu kanumba
wote wametangaza ila utangazaji wa domo umekukera kutokana ni msanii wa kwanza kutoka Tz au sio ??
 
Afrika Kusini sasa imekuwa nyumbani kwingine kwa Diamond baada ya kununua nyumba ya kifahari iliyopo jijini Pretoria.

Baada ya kutangaza kununua nyumba hiyo iliyomgharimu zaidi ya shilingi milioni 400, maneno mengi yalisemwa yakiwemo ya wale waliohisi amepiga changa la macho. Na sasa muimbaji huyo amethibitisha kuwa mjengo huo ni mali yake baada ya kuwasili rasmi Jumanne hii.

Akiwa na timu yake ya WCB, Diamond ameikagua nyumba kwa mara ya kwanza na kuwasogeza karibu nayo mashabiki wake kwa video alizoweka Instagram.

“Meet my neighbors …mnh ujirani huu hata siku Ukiwa na shida ya chumvi sjui unaingiaje kujichekesha upewe!…. [HASHTAG]#MyNewCribInSouthAfrica[/HASHTAG],” ameandika kwenye video moja.

Kwenye nyingine ameandika, “Wow! If you don’t know yet today was my first time seeing my house physically since I bought it a month ago….and honestly I went crazy when I saw it coz I was so excited to… so proud of my baby @zarithebosslady for being a good leader in our love and life..”

Ya mwisho ilikuwa na ujumbe mkali zaidi uliowalenga wale waliodai si nyumba yake.
“Asa k*nya nak*nya mie makalio yanawauma wengine, eti inahuu..,” ameandika.

“Wambie wasininunie mie, wakazane….halaf hii clip naomba wanangu mnisaidie kuwatag wote waliokuwa busy kupost na kuzungumza Kuwa nyumba hii si yangu….waambie hizi ndio kwanza rasharasha clip hata kupost sijaanza bado..”

“Soon naamia ndani…halaf nlisahau, wakikwambia mie mswahili wambie Mswahili haswaaa… halaf uswahili wangu najua kuutumia na umefanya leo niwe na kibanda south asa wao Uzungu wao Umewapa nini?”

MY TAKE: blaza punguza uswahili ikiwezekana acha kabisa piga kazi uzidi kuleta tuzo, badala ukae utafakari kwanini tuzo za MTV MAMA zimekupita pembeni, umeona the only way ku make headline ni kuonyesha live uswahili wako na kufanya 'show off ' ambazo hazina maana yoyote, hivi ukinunua nyumba lazima ni lazima watu wajue hata kama hawaamini umenunua how comes inakusumbua wewe?

Wizkid na utajiri wake mkubwa sijawah kuona uswahili.wa kuonesha majumba aliyonunua pamoja na utajiri wake mkubwa, yeye show off zake ni za kazi, wala sijui show off za mwanamke wake wala sio yeye tu wapo wengi. Embu badilikeni bwana.

Na pia nampongeza Ali Kiba kwa kauli yake kua hata akipata nyumba hatafanya show off sababu haimsaidii.. ali kiba ukiwa na mentality hio utafika mbali sana.

Na pia vitu vingine watu tuliokaa South Africa tunapiga kimya tu, naomba anunue na nyingine Sandton.
WEWE MWENYEWE BONGE LA MSWAHILI
 
nakubali juhudi zake, ila kuna kaujinga kafanya hapo katika kauli, sihitaji kujibiwa ukinijibu tu basi we mke wangu hahahaha.
Ndo uswahili nnaousema hapa mkuu, tuzo alizonazo kaona ndo basi, wizikd nlimsikia akihojiwa anasema amefurahi lakin hajaridhika bado, davido na ustaa wake na utajiri still bado ana usongo na kufika mbali muwe mnaangalia hata instagram anapost nini...diamond sidhani kama imemuuma alivokosa hizo tuzo zilizopita juzi.. akae chini atafakari wapi aongeze nguvu, kwanza katuangusha kama wanaume...mwanaume utaongeaje maneno kama hayo bana, "inahuu...", mara [emoji108]...international artist for that matter...
kuna show za uk atafanya na neyo ningemuona wa maana kama angejipost anajiandaa na hizo show za UK ,
 
WEWE MWENYEWE BONGE LA MSWAHILI
Hamsemi facts mnaishia kuropoka tu mnaendeshwa na hisia zaidi kuliko akili...kama wewe ni wa kiume na umesapoti ujinga alioufanya ukiacha kuji show off pasipo na sababu ya msingi, kama mwanaume sitakubal ujinga wa kutumia maneno kama "inahuu ama kutumia ishara za [emoji108] alikua anamanisha nini labda uniambie wewe
 
Ndo uswahili nnaousema hapa mkuu, tuzo alizonazo kaona ndo basi, wizikd nlimsikia akihojiwa anasema amefurahi lakin hajaridhika bado, davido na ustaa wake na utajiri still bado ana usongo na kufika mbali muwe mnaangalia hata instagram anapost nini...diamond sidhani kama imemuuma alivokosa hizo tuzo zilizopita juzi.. akae chini atafakari wapi aongeze nguvu, kwanza katuangusha kama wanaume...mwanaume utaongeaje maneno kama hayo bana, "inahuu...", mara [emoji108]...international artist for that matter...
kuna show za uk atafanya na neyo ningemuona wa maana kama angejipost anajiandaa na hizo show za UK ,
Kwan hajapost iyo show a post Mara ngapi acheni roho za kwann
Mtu maisha yake mnampangia haishi vip alivyo kua anaangaika nyie mlikuwepo
 
hahahhahahaha kweli kabisa, sema blazah katok shit ki awkward bana, ashafanikiwa sio kila kitu anatakiwa ajibu kivile itafikia wakati ataongea vibaya anaweza poteza endorsements wakuu
Mkuu bora uongee, hizi ndo facts watu wanatakiwa waziseme, sio mtu uaendeshwa na hisia sababu unampenda kwaio hata akifanya upuuzi unakubali tu, kwanza katudhalilisha sana wanaume..eti inahuuu ...aiseee!!
 
huyu diamond hamfikii hata msanii juager wa kenya kwa pesa jamaa ana 3 jets na makampuni kibao huyu mondi ni mtafta kick tu wala si mpga kazi
Anadhalilisha wanaume!!
Yani nyumba south africa tu imekua mipasho...mwanaume mzima, international artist for that matter mipasho all the way
 
Anadhalilisha wanaume!!
Yani nyumba south africa tu imekua mipasho...mwanaume mzima, international artist for that matter mipasho all the way
Afu mtoto wa kiume kuchukia mafanikio ya mwanaume mwenzako huo ni..........
Jutaidi utafute vyako sio kazi kumkandia 2 kawaonesha kwamba Yale ndo matunda yake
 
Back
Top Bottom