I told you before, I am good at using proper words!! Ili kukupunguzia muda wa kukanusha kwamba ulijipitisha, ndo maana from the beginning nikasema "KWA MFANO" unajipitisha!! So, don't worry, I know hukujipitisha though inawezekena pia yupo ambae kila umuonapo moyo unafanya 'ti ti ti! Kwahiyo hakuna ubaya hata kidogo ukijipitisha provided you're certain that the guy is a gent! Unajua kwa gentleman anafahamu kwamba love is all about emotions and when they hit at the right spot, they're uncontrollable! Kwahiyo hata ukijipitisha wala hataona "hee! Huyu bibie vp, mbona anakuja kasi" Kinyume chake atajua tu umezidiwa!chige nimechoka bana hahaha, afu I'm missing your points mwee. Hao niliosema hawacheat, sijamaanisha kuwa nilijipitisha kwao afu wakanikaushia (ntakudunda ujue, me wa kujipitisha jamani hahaha), au kwamba wameniambia wao kuwa hawacheat, nope.., what I meant ni kuwa kuna gentlemen hawacheat hata huko gizani tusipowaona, they are committed 100%. Pamoja na vyote walivyonavyo wameamua kutokucheat. Unaweza ukajipitisha hata kwa kitombi na akakupotezea vile vile. Cheating is simply a choice
Uzuri wa sisi wanaume, ukishakuwa smart cheater hakuna tena cha kukuumbua tofauti na smart cheaters wa kike! Unashitukia tumbo hiloo hadi majirani wanaanza kujiuliza "hee! Imeingiaje ingiaje wakati muda wote yupo nyumbani!" Lakini kwa wanaume, hatuachi alama that's why naweza kukutana na wewe nika-swear kwa miungu yote kwamba you're my first girlfriend... utaishia kusema IMPOSSIBLE lakini hautakuwa na namna ya ku-prove otherwise! And lemme tell you this: Kuna wale wa hit and run... utawakamatia wapi wakati hawarudii njia waliyopita wakati wanaenda?! Utabaki kusema they don't cheat hata gizani; kumbe wee!!