warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Muigizaji asiye na makuu nchini, jennifer kyaka aka ODAMA, hivi karibuni amekua na ziara kwenye nchi mbali mbali ,ambapo alianzia nchini china ambako alienda kusherekea sikukuu yake ya kuzaliwa pamoja na kula bata za kufa mtu nchini humo, hivi karibuni pia ameonekana akiwa dubai (dxb) akila bata, hata hivyo haijajulikana kama staa huyo amekua boss lady au kuna sponsor nyuma ya pazia ambaye anamfanyia kufuru za kufa mtu na kumpa jeuri mjini. Msanii huyo ambaye pia ni mmliki wa kampuni ya filamu na mama wa mtoto mmoja amekua msiri sana na maisha yake, hivyo kuwapa ugumu wapenda ubuyu kujua maisha yake kiundani.
Haya bi Dada ji enjoy ila warumi nawashwaa kumjua sponsor maana sio kwa bata hzo, maana wasanii wenzio wamesota hata south Africa hawajawahi kufika ila wewe naona unabadilisha flight kama daladala , uwiiiii jamani umbea huu, Dada wa watu mpole mwenyewe warumi namchokonoa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haya bi Dada ji enjoy ila warumi nawashwaa kumjua sponsor maana sio kwa bata hzo, maana wasanii wenzio wamesota hata south Africa hawajawahi kufika ila wewe naona unabadilisha flight kama daladala