Picha: Papa Francis akiongoza waombolezaji kuaga mwili wa Papa Benedict XVI

Picha: Papa Francis akiongoza waombolezaji kuaga mwili wa Papa Benedict XVI

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
ETYJYHTGT5M7XK74ASXVDVJLOA.jpg

NJSLWYNHYJNYVJJ564JLFKKU4I.jpg

V3VBNQVWMNMGXG3PTJBGURWX34.jpg

EICHREWGHZMV5AVZIY444U2XEA.jpg

6QAR4I6FDJKI7JKRROQAZNJQ2I.jpg

QAQGEH5GMVITLIKJDSGG2W5KWU.jpg

MERNQ3ZU55LQXJ3TO3YVXJCQKM.jpg

NQCEDORWAJIRJEESRHIS53BTOE.jpg

UMHIVSODLVMF5L7DSOML6CQYQA.jpg

CYW6VAGYBZN3VHN233RJWOHW5M.jpg

EB6TVSIZYFJ33BFRJYOODS74AA.jpg

XRLPCWPMIVPCBIOA7CR3VNH7HY.jpg

4WGMSUEP2VL27J6ISP7WDYLFGM.jpg

SRLA2TEWO5JMZAGBYINCDLI2RA.jpg

BXUVO3DZIVLDXAPRCJ63VQ5FMQ.jpg
 
Hii ndio Vatican /Roma.

Hawa ndio waliotengeneza kitabu kilicho shushwa.

Anyway IRP BENEDICT.
:Tutakukumbuka kwa KUPIGA vita ndioa za Jinsia Moja.
: Kupiga vita utoaji mimba.
: Kuomba Radhi HADHARANI nk.

Kukata kuzikwa kama KIONGOZI mkubwa.

Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu.

Ayubu 14:1
 

Ufunuo 14:13 SRUV​

Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.
 

Attachments

  • 20230105_170935.jpg
    20230105_170935.jpg
    62.5 KB · Views: 6

1 Kor 9:27 SUV​

bali nautesa mwili wangu na kuutumikisha; isiwe, nikiisha kuwahubiri wengine, mwenyewe niwe mtu wa kukataliwa.
 
Hizo rangi nyekundu na nyeusi is a mistake, ilitakiwa nyeupe peeee,

Amemaliza kazi kimwili japo roho iko Mbinguni tayari
 

Ufunuo 14:13 SRUV​

Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.
Huko hakuna kupumzika ndugu mkongoto mtindo 1 tu
 
Usilolijua ni sawa na usiku wa kiza.

Jitahidi kusikiliza mambo ya WAKUBWA zako, waliokutangulia.
Ila huko makanisani mnalishwa ujinga kweli, na akina mwamposa ili kuwafuna fedha zenu, Uzuri viongozi wengi wanajua wakristo wanataka nini.

Ndiyo maana mtu asiefanya biashara yeyote kabla leo anajingea mihotel, wanatembea migari ya kifahari.

Leo mchungaji akisimama mbele ya madhabahu, akasema Uislamu ulianzishwa na sisi Wakristo na yesu ndiye alianzisha, Uislamu na Quran ilitungwa na wakristo, hapo akisikia hivyo ingekuwa inawezeka mkewe angempa mchungaji bureee.

Sasa jiulize, Kama Yesu anawasa wakristo wenzie kuwa ukifuata yeye ndiye njia ya kwenda kwa Baba yake, ilikuaje aanzishe imani jingine ambayo haimfuati yeye.

Tuache utapeli, sasa hivi maisha magumu sana.
 
Back
Top Bottom