Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haingii akilini kwa wao kutengeneza quranHii ndio Vatican /Roma.
Hawa ndio waliotengeneza kitabu kilicho shushwa.
Anyway IRP BENEDICT.
:Tutakukumbuka kwa KUPIGA vita ndioa za Jinsia Moja.
: Kuhapiga vita utoajo mimba.
: Kuomba Radhi HADHARANI nk.
Haingii akilini kwa wao kutengeneza quran
Usilolijua ni sawa na usiku wa kiza.
Jitahidi kusikiliza mambo ya WAKUBWA zako, waliokutangulia.
Wapi kasema yeye ni msabato?Msabato wa yule mwanamke kazini
Pumzika kwa amani baba mtakatifu mstaafu, amen
Kwamba wewe unajua sana kuliko walio huko Roma,khaaaHizo rangi nyekundu na nyeusi is a mistake, ilitakiwa nyeupe peeee,
Amemaliza kazi kimwili japo roho iko Mbinguni tayari
Ushawahi kumfira?pana mashoga kibao hapo.wakwanza fransis
usiniulize maswali hayo.kwani humjui fransisi?ndio mara yako ya kwanza kimsikia?Ushawahi kumfira?
Huko hakuna kupumzika ndugu mkongoto mtindo 1 tuUfunuo 14:13 SRUV
Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.
Ila huko makanisani mnalishwa ujinga kweli, na akina mwamposa ili kuwafuna fedha zenu, Uzuri viongozi wengi wanajua wakristo wanataka nini.Usilolijua ni sawa na usiku wa kiza.
Jitahidi kusikiliza mambo ya WAKUBWA zako, waliokutangulia.
Hivi unajua kuna watu wanajuana humu tena wengine kwa kujuana, wewe subiri aandike tu.Wapi kasema yeye ni msabato?