Pre GE2025 PICHA: Paul Makonda akiombewa na Pastor Tony Kapola

Pre GE2025 PICHA: Paul Makonda akiombewa na Pastor Tony Kapola

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu habari zenu,

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ame-share picha hizi akiombewa mbele ya Madhabahu na Pastor Tony Kapola katika ibada maalum. Pastor Kapola alimwombea Makonda hekima na ulinzi katika utendaji wake.

464758955_1085433232936854_4434488137462464843_n.jpg

464929240_863230789290409_5640388135511154852_n.jpg

464803340_1072303780797432_6838698644299498117_n.jpg
Pia, Soma:
+
Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
+ Hakuna kitu cha maana Paul Makonda anafanya Arusha isipokuwa blaa blaa na vituko
 

Attachments

  • 464803340_1072303780797432_6838698644299498117_n.jpg
    464803340_1072303780797432_6838698644299498117_n.jpg
    210.3 KB · Views: 5
  • 464803340_1072303780797432_6838698644299498117_n.jpg
    464803340_1072303780797432_6838698644299498117_n.jpg
    210.3 KB · Views: 6
Wakuu habari zenu

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ame-share picha hizi akiombewa na Pastor Tony Kapola katika ibada maalum. Pastor Kapola alimwombea Makonda hekima na ulinzi katika utendaji wake.
Pale motivatinal speaker alipo peleka karama yake kwenye uchungaji na kuzalisha fedha nyingi. ANAPO kutana na mtu mwenye uchu ya madaraka na vyeo. Anayejipendekez kwa kanisa iliapate wafuasi wengi nyakati hizi za kampeni. Sifa kwa viongozi wa dini aonekane mtu mwema.
Ikumbukwe alisha mpiga GSM hati ya nyumba
 
Inspiration speakers huyo!!
Wanaokuza majina yao badala ya jina kuu la Mungu!
 
Inspiration speakers huyo!!
Wanaokuza majina yao badala ya jina kuu la Mungu!
Siku hizi watu Hawamfati Mungu wanafata Dini na kiongozi wa kiroho prophet anachosema lengo wafanikiwe kwenye biashara zao na sio kujifunza neno la Mungu
 
Back
Top Bottom