Pre GE2025 PICHA: Paul Makonda akiombewa na Pastor Tony Kapola

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648

Attachments

  • 464803340_1072303780797432_6838698644299498117_n.jpg
    210.3 KB · Views: 5
  • 464803340_1072303780797432_6838698644299498117_n.jpg
    210.3 KB · Views: 6
Pale motivatinal speaker alipo peleka karama yake kwenye uchungaji na kuzalisha fedha nyingi. ANAPO kutana na mtu mwenye uchu ya madaraka na vyeo. Anayejipendekez kwa kanisa iliapate wafuasi wengi nyakati hizi za kampeni. Sifa kwa viongozi wa dini aonekane mtu mwema.
Ikumbukwe alisha mpiga GSM hati ya nyumba
 
Inspiration speakers huyo!!
Wanaokuza majina yao badala ya jina kuu la Mungu!
 
Inspiration speakers huyo!!
Wanaokuza majina yao badala ya jina kuu la Mungu!
Siku hizi watu Hawamfati Mungu wanafata Dini na kiongozi wa kiroho prophet anachosema lengo wafanikiwe kwenye biashara zao na sio kujifunza neno la Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…