Picha: Peter Kibatala akiwa kaelemewa mafaili baada ya kumaliza shughuli yake

Picha: Peter Kibatala akiwa kaelemewa mafaili baada ya kumaliza shughuli yake

Niliposikia wakili msomi Nikajua mumewe bondita, kumbe kichwa kibatala. Ameeelekeza namna msomi mbobevu anapaswa kuwa. Viva tanzania viva mtu huru mbowe.
 
Mvuto uliokua unaing'arisha mahakama kilasiku Sasa umetoka mahakama yamwanzo inaendelea Sasa na ufungaji wezi wakuku na kujaza magereza
 
Back
Top Bottom