Picha: Peter Kibatala akiwa kaelemewa mafaili baada ya kumaliza shughuli yake

Wazee wa madokomaaa😂😂

Ova
 
Kibatala linajituma na linapiga kazi hatari
 
Niliposikia wakili msomi Nikajua mumewe bondita, kumbe kichwa kibatala. Ameeelekeza namna msomi mbobevu anapaswa kuwa. Viva tanzania viva mtu huru mbowe.
 
Mvuto uliokua unaing'arisha mahakama kilasiku Sasa umetoka mahakama yamwanzo inaendelea Sasa na ufungaji wezi wakuku na kujaza magereza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…