Rapa Mkongwe na Mbunge wa zamani wa Mikumi (CHADEMA) Joseph Haule aka Profesa Jay ameanza mpango maalumu wa kurudisha mwili wake baada ya kuugua kwa muda mrefu (takriban mwaka mmoja).
Jay amepost picha zikimuonesha akiwa na mdogo wake Black Rhyno wakiwa wanapiga Kitimoto eneo la Kazimoto Pork Segerea Dar es Salaam.
Ila ni vyema kuendelea na mwili mdogo kwa kuwa una madhara madogo kiafya na ni rahisi kufanya mazoezi, mwili mkubwa kama wa zamani wa Prof ni mzigo kwa afya uzee ukisogea.