Picha: Profesa Jay aanza “Oparesheni Rudisha Shavu”, ni mwendo wa Kula kwa kwenda mbele

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826



Rapa Mkongwe na Mbunge wa zamani wa Mikumi (CHADEMA) Joseph Haule aka Profesa Jay ameanza mpango maalumu wa kurudisha mwili wake baada ya kuugua kwa muda mrefu (takriban mwaka mmoja).

Jay amepost picha zikimuonesha akiwa na mdogo wake Black Rhyno wakiwa wanapiga Kitimoto eneo la Kazimoto Pork Segerea Dar es Salaam.

Mungu ni mwema sana kwa uhai wa Jay
 
Chimbo lipo sehemu gani hili inaonesha lina mdudu mzuri sana
 
Kwa kweli hana budi kumshukuru Muumba wake. Maana mapito aliyopitia, yalikuwa siyo ya kitoto.

Angekuwa ni mtu tu asiyejulikana, mpaka muda huu tungekuwa tumeshamsahau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…