PICHA: Rais Dkt. Samia aelekea Brazil kushiriki mkutano wa G20

PICHA: Rais Dkt. Samia aelekea Brazil kushiriki mkutano wa G20

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Rais Dkt. Samia akiagana na viongozi mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) leo tarehe 16 Novemba, 2024 kabla ya kuelekea Rio de Janeiro nchini Brazil kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa nchi Wanachama wa kundi la G20.

Pia, Soma: Rais Samia aweka historia kwa Tanzania kualikwa kwa mara ya kwanza kuhudhuria Mkutano wa G20

IMG_0755.jpeg

Rais Dkt. Samia amealikwa na Rais wa Brazil Luiz Ińacio Lula da Silva ambapo pamoja na mambo mengine, atashiriki mijadala inayolenga kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika mapambano dhidi ya njaa na umasikini, kuchochea maendeleo endekevu na matumizi ya nishati mbadala.
img_0753-jpeg.3153843

IMG_0754.jpeg
 

Attachments

  • IMG_0753.jpeg
    IMG_0753.jpeg
    370.7 KB · Views: 13
Rais Dkt. Samia akiagana na viongozi mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) leo tarehe 16 Novemba, 2024 kabla ya kuelekea Rio de Janeiro nchini Brazil kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa nchi Wanachama wa kundi la G20.

Pia, Soma: Rais Samia aweka historia kwa Tanzania kualikwa kwa mara ya kwanza kuhudhuria Mkutano wa G20

View attachment 3153842
Rais Dkt. Samia amealikwa na Rais wa Brazil Luiz Ińacio Lula da Silva ambapo pamoja na mambo mengine, atashiriki mijadala inayolenga kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika mapambano dhidi ya njaa na umasikini, kuchochea maendeleo endekevu na matumizi ya nishati mbadala.
img_0753-jpeg.3153843

View attachment 3153844
Unatafuta ugomvi na Lucas Mwashambwa
Aliyekuruhusu uandike habari zàke nani?
 
Rais Dkt. Samia akiagana na viongozi mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) leo tarehe 16 Novemba, 2024 kabla ya kuelekea Rio de Janeiro nchini Brazil kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa nchi Wanachama wa kundi la G20.

Pia, Soma: Rais Samia aweka historia kwa Tanzania kualikwa kwa mara ya kwanza kuhudhuria Mkutano wa G20

View attachment 3153842
Rais Dkt. Samia amealikwa na Rais wa Brazil Luiz Ińacio Lula da Silva ambapo pamoja na mambo mengine, atashiriki mijadala inayolenga kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika mapambano dhidi ya njaa na umasikini, kuchochea maendeleo endekevu na matumizi ya nishati mbadala.
img_0753-jpeg.3153843

View attachment 3153844
Kwenda kutembeza bakuli la mikopo
 
  • Thanks
Reactions: rr4
hii nchi sisi ndo tunatakiwa tuiokoe serikali

ulikuwa haujalijua hilo? mfumo mzima wa tanzagiza umejengwa hivyo masikini ndiyo huudumia na kulinda politburo na familia zao, serikali ipo kwa ajili ya politburo, tanzagiza ndiyo nchi pekee mwenye kila kitu anapewa vitu hata haviitahitaji, chukulia mfano raisi kujengewa nyumba mtu ambaye ana nyumba mpaka usa au sijui dubai na analipiwa kila kitu mpaka kufa na familia yake lkn bado anajengewa nyumba extra, umesahau mke wa mkubwa alivyopeleka bungeni kutaka wake wa wakubwa pia walipwe mishahara na mafao? watu ambao tayari wana kila kitu bado wanataka kuchukuwa hata kidogo cha masikini, tanzagiza ni satanic from its inception, na ndiyo maana hawajali chochote …
 
Rais Dkt. Samia akiagana na viongozi mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) leo tarehe 16 Novemba, 2024 kabla ya kuelekea Rio de Janeiro nchini Brazil kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa nchi Wanachama wa kundi la G20.

Pia, Soma: Rais Samia aweka historia kwa Tanzania kualikwa kwa mara ya kwanza kuhudhuria Mkutano wa G20

View attachment 3153842
Rais Dkt. Samia amealikwa na Rais wa Brazil Luiz Ińacio Lula da Silva ambapo pamoja na mambo mengine, atashiriki mijadala inayolenga kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika mapambano dhidi ya njaa na umasikini, kuchochea maendeleo endekevu na matumizi ya nishati mbadala.
img_0753-jpeg.3153843

View attachment 3153844
Mapped: Africa’s GDP per Capita by Country

Hii ndio ilivyo Hali za kiuchumi za nchi za Afrika Kuanzia Namba moja ni Seychelles Hadi nchi ya mwisho Eritrea
Seychelles $21,875
Mauritius $12,973
Gabon $9,308
Botswana $7,875
Libya $6,975
Equatorial Guinea $6,733
South Africa $5,975
Algeria $5,722
Namibia $4,745
Cabo Verde $4,656

Tunisia $4,435
Eswatini $4,324
Djibouti $4,184
Morocco $4,078
Egypt $3,225
São Tomé and Príncipe $3,167
Côte d'Ivoire $2,717
Republic of the Congo $2,457
Angola $2,432
Mauritania $2,347

Ghana $2,230
Zimbabwe $2,088
Kenya $1,983
Ethiopia $1,910
Senegal $1,900
Cameroon $1,815
Guinea $1,651
Benin $1,512
Zambia $1,413
Comoros $1,385
Tanzania $1,220
Uganda $1,202
Nigeria $1,110
Lesotho $1,107
Guinea-Bissau $1,088
Togo $1,058
Chad $1,014
The Gambia $989
Rwanda $989
Burkina Faso $910

Mali $899
Liberia $855
Somalia $777
Democratic Republic of the Congo $715
Niger $670
Mozambique $659
Sudan $547
Madagascar $538
Central African Republic $538
Sierra Leone $527

Malawi $481
South Sudan $422
Burundi $230
Eritrea N/A
 
Back
Top Bottom