PICHA: Rais Dkt. Samia aelekea Brazil kushiriki mkutano wa G20

PICHA: Rais Dkt. Samia aelekea Brazil kushiriki mkutano wa G20

Rais Dkt. Samia akiagana na viongozi mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) leo tarehe 16 Novemba, 2024 kabla ya kuelekea Rio de Janeiro nchini Brazil kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa nchi Wanachama wa kundi la G20.

Pia, Soma: Rais Samia aweka historia kwa Tanzania kualikwa kwa mara ya kwanza kuhudhuria Mkutano wa G20

View attachment 3153842
Rais Dkt. Samia amealikwa na Rais wa Brazil Luiz Ińacio Lula da Silva ambapo pamoja na mambo mengine, atashiriki mijadala inayolenga kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika mapambano dhidi ya njaa na umasikini, kuchochea maendeleo endekevu na matumizi ya nishati mbadala.
img_0753-jpeg.3153843

View attachment 3153844
Qumanina zake, kikao cha nini wakati wananchi wako wanakufa?
 
Rais Dkt. Samia akiagana na viongozi mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) leo tarehe 16 Novemba, 2024 kabla ya kuelekea Rio de Janeiro nchini Brazil kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa nchi Wanachama wa kundi la G20.

Pia, Soma: Rais Samia aweka historia kwa Tanzania kualikwa kwa mara ya kwanza kuhudhuria Mkutano wa G20

View attachment 3153842
Rais Dkt. Samia amealikwa na Rais wa Brazil Luiz Ińacio Lula da Silva ambapo pamoja na mambo mengine, atashiriki mijadala inayolenga kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika mapambano dhidi ya njaa na umasikini, kuchochea maendeleo endekevu na matumizi ya nishati mbadala.
img_0753-jpeg.3153843

View attachment 3153844
Dah kweli wanawake wana roho mbaya sana na hawafai kiwa viongozi. Hivi wewe kama Rais wa nchi yanatokea majanga kama haya unapata wapi guts za kisafiri na kuacha wananchi wako wapo kwenye vifusi tena eneo linalokupatia mapato ya kodi makubwa kama Kariakoo?

Women aisee
 
Rais Dkt. Samia akiagana na viongozi mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) leo tarehe 16 Novemba, 2024 kabla ya kuelekea Rio de Janeiro nchini Brazil kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa nchi Wanachama wa kundi la G20.

Pia, Soma: Rais Samia aweka historia kwa Tanzania kualikwa kwa mara ya kwanza kuhudhuria Mkutano wa G20

View attachment 3153842
Rais Dkt. Samia amealikwa na Rais wa Brazil Luiz Ińacio Lula da Silva ambapo pamoja na mambo mengine, atashiriki mijadala inayolenga kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika mapambano dhidi ya njaa na umasikini, kuchochea maendeleo endekevu na matumizi ya nishati mbadala.
img_0753-jpeg.3153843

View attachment 3153844
 
Ovyo kabisa wananchi wako wamefukiwa wewe unaenda kuzurura, si ungetuma mwakilishi
 
ulikuwa haujalijua hilo? mfumo mzima wa tanzagiza umejengwa hivyo masikini ndiyo huudumia na kulinda politburo na familia zao, serikali ipo kwa ajili ya politburo, tanzagiza ndiyo nchi pekee mwenye kila kitu anapewa vitu hata haviitahitaji, chukulia mfano raisi kujengewa nyumba mtu ambaye ana nyumba mpaka usa au sijui dubai na analipiwa kila kitu mpaka kufa na familia yake lkn bado anajengewa nyumba extra, umesahau mke wa mkubwa alivyopeleka bungeni kutaka wake wa wakubwa pia walipwe mishahara na mafao? watu ambao tayari wana kila kitu bado wanataka kuchukuwa hata kidogo cha masikini, tanzagiza ni satanic from its inception, na ndiyo maana hawajali chochote …
Duh 🙄 ! 😱 !
 
Kuna pongezi nyingi kwa mama kisa kualikwa kwenye mkutano wa nchi tajiri 20 ama maarufu kama G20.
Lakini mimi naamini kama rais anawatetea wananchi dhidi ya mikataba ya kimangungo hawezi kukaribishwa huko.
Screenshot_20241114-104525.jpg

Mama kajifichia kwenye kukopa sana ili ionekane miradi inatembea kumbe ki uhalisia hicho ni kifungo cha wananchi kwa miaka mingi mbele ijayo kwa sababu inaenda kuondoka na rasilimali zetu muhimu pasipo wananchi kunufaika moja kwa moja.

Kama nchi inaingia mkataba na DP World kusimamia bandari zote za baharini na ziwani kwa mkataba mrefu. Lakini chawa wanakuja kudai mkataba wa Dp World ni kusimamia bandari ya Dar es salaam pekee, unabaki unajiuliza hawa watu wamesoma kweli mkataba huo husika?
Kwa mkataba serikali ya awamu ya 6 iliyoingia na Dp world, ni busara tu za DP WORLD wasiamue kuji expand kwenye bandari za maeneo mengine kwa sababu mkataba wa awali HGA unawapa haki ya kusimamia bandari zote za Tanzania kuanzia baharini hadi bandari za ziwani.
Mbaya zaidi unauza mali za watanganyika kirahisi hivyo huku mali na bandari za Zanzibar ukiziogopa kwa sababu Tanganyika sijui inachukuliwaje?
Unaondoka kwenye nchi yako angali kuna watanzania bado wapo kwenye mapango wakipambania roho zao kutokana na ghorofa kuporomoka katikati ya jiji la kibiashara. Hii inaleta picha gani hata kwa hao waliokukaribisha kwenye huo mkutano, si watakuwa hawana imani na wewe endapo wataruhusi wawekezaji kutoka kwenye nchi zao?

Kwa staili ya viongozi kama hawa lazima tualikwe sana kwenye mikutano ya wakubwa maana wanajua madalali wa nchi zao watafika bei wakiwa huko huko kwenye mikutano.
Screenshot_20241117-173835.jpg
 
TUNGEWEZA KUTUKMIA NJIA YA ASILI,

TUNGEPANGA MISTARI KUMI,
WENGINE WANAJAZA UDONGO KWENYE NDOO.

WENGINE KWENYE FOLENI TUNAJAZA MALOLI 200 MENDE.

NDANI YA MASAA KUMI KUSINGEKUWA NA KIFUSI WATU WOTE WANGEPONA.

SELIKALI HAINUNUI HATA MITAMBO YA UOKOAJI.

NI LAANA KWA MTU MWENYE AKILI TIMAMU KUZALIWA KWENYE HILI TAIFA
 
Hamna kiongozi hii ni kwa ndugu zetu waliopoteza maisha leo k/koo
Mods Mods kwanini mlimpiga Ban huyu member jamani. Naomba Max aaanze kuangalia hawa watu wake isije kuwa Chawa wa buku 3 wamejipenyeza kwenye ajira hapo JF.
 
Back
Top Bottom