JK yupi, mkuu?I like President Uhuru. Jamaa yuko very simple.kama JK tu
Baba rizJK yupi, mkuu?
Yule wa kaunda suti au yule wa suti za uarabuni?
Mbona JPM alipo kula kwenye ule mgahawa wa airport pale mwanza hamkusema kama ni social sana ? tena yeye alinunulia wateja wenzake wote chakula pale.huyu jamaa social sana
Lowasa alipoenda tandale mlisema mengi sanaMbona JPM alipo kula kwenye ule mgahawa wa airport pale mwanza hamkusema kama ni social sana ? tena yeye alinunulia wateja wenzake wote chakula pale.