Picha: Rais Uhuru ajiachia na kula ugali kitaa

Picha: Rais Uhuru ajiachia na kula ugali kitaa

14355664_1398052096890006_2172731027352093631_n.jpg



14344727_1398072656887950_7231934378458373210_n.jpg


14329889_1398073040221245_1885124385610746302_n.jpg

mutoto ya mujini....
 
Mbona JPM alipo kula kwenye ule mgahawa wa airport pale mwanza hamkusema kama ni social sana ? tena yeye alinunulia wateja wenzake wote chakula pale.
sijaongelea social kwamba mambo ya migahawani nimeongeleaa lifestyle yake sio kama magufuli kama haujui sema nikuambie alivyosocial
 
Nikiangalia sura naona kama ni Wagikuyu wenzake. Angejumuka na Wajaluo na kuikung'uta dona hapo ingekuwa poa.
Kweli kabisa mkuu.
Alafu kaiga kutoka kwa Magufuli alivyokuwa uwanja wa Ndege Mwanza.
Na mtaiga kila kitu anachofanya Raisi Magufuli
 
Huyu UK mie namhusudu sana pamoja na mapungufu yake kama Kiongozi wa nchi.
 
Niambie jinsi alivyo antisocial
alivyo social sio antisociall



huyu jamaa namfananisha naaisha anayoishi miraji kikwete kama wamjuuuu sasa huyu uhuru wakati baba yake ni raisi yy alikuwa anatoka ikulu anaenda kupga mastory na majamaa ulaiani mara alale huko huko .kwa maselaa full kunywa kulewaa nk na mpaka sasa yupo rais anaweza kuamuaa kwenda sehemu peke yake bilaa ulinzi kabsaa na wapnzan wake yupo nao social sana ..yeye anachoangaliaa ni nchi yake kuwa na maendeleo pia kwenye mikutano yake ya siasa utamuonaa tu ambavyo anajumuika na wasanii wenzake kwenda kucheza
 
alivyo social sio antisociall



huyu jamaa namfananisha naaisha anayoishi miraji kikwete kama wamjuuuu sasa huyu uhuru wakati baba yake ni raisi yy alikuwa anatoka ikulu anaenda kupga mastory na majamaa ulaiani mara alale huko huko .kwa maselaa full kunywa kulewaa nk na mpaka sasa yupo rais anaweza kuamuaa kwenda sehemu peke yake bilaa ulinzi kabsaa na wapnzan wake yupo nao social sana ..yeye anachoangaliaa ni nchi yake kuwa na maendeleo pia kwenye mikutano yake ya siasa utamuonaa tu ambavyo anajumuika na wasanii wenzake kwenda kucheza
Hivi unadhani hapo kwenye picha hakuna walinzi kweli????? Basi kwa taarifa yako jamaa anatembea na lundo la walinzi
 
Maskini Kinyatta ana mashoto
🙂🙂🙂
Acha hizo wewe,mbona obama mashoto hushtuki,na hela zake ndio zimechangia kukuletea umeme unaochargia tecno lako,huko mfaranyaki.A550LE!!.
 
Acha hizo wewe,mbona obama mashoto hushtuki,na hela zake ndio zimechangia kukuletea umeme unaochargia tecno lako,huko mfaranyaki.A550LE!!.
mbona unafoka sana? Obama mimi hanihusu hata kidogo wala kwa chochote. ni mtu tu wa kawaida. Bora nifikirie na kujali ya raisi wangu kenyatta. Upo?
 
Mipango ya kujiweka sawa kwa uchaguzi mkuu..

Huyu rais ndio zake siku zote, unaweza ukamkuta kitaa anajichanganya halafu hapo hapo ahudhurie kikao cha kimataifa baadaye na kutema yai huku amevaa suti hutaamini ndiye alikua pale kitaa anakula ugali. Hizi hapa picha zake nyingine anaendesha gari lake mwenyewe. Nyingine anakula chakula na masela jamaa wamekalia viti sio kama rais yuko pale

Uhuru-eats-nymachoma-680x365.jpg


Uhuru-Kenyatta.jpg


CPyGp3FVAAAeTXO.jpg


maxresdefault.jpg



797263.jpg


Uhuru-performing-alongside-Kenyan-kids-on-stage.jpg


1419135.jpg


0fgjhs7l4v50rlhio.31e235f2.jpg
 
Mbona JPM alipo kula kwenye ule mgahawa wa airport pale mwanza hamkusema kama ni social sana ? tena yeye alinunulia wateja wenzake wote chakula pale.
kwani tulimwabia awanunulie si kiherehere chake;
 
Back
Top Bottom